Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Katibu wa jumuiya ya madaktari nchini ameweka wazi kuwa bei ya mashine moja ya CT scan ni sawa na bei ya kununulia shangingi moja.Alisema kama serikali ingekuwa na nia ya kununua mashine hiyo isingeshindwa. kwa habari zaidi soma gazeti la mwananchi la leo.
Binafsi habari hii imichefua na kunisikitisha kuona ni jinsi gani serikali yete inavyoendekeza anasa wakati inashindwa kutoa huduma za msingi kwa watu wake.Mashine ya CT scan pale muhimbili kwa mujibu wa vyombo vya habari imekuwa mbovu kwa muda wa miezi saba ila serikali inapiga dana dana kuitengeneza na matengenezo yake ni kama milioni mbili hivi kama sikosei.Kama nimekosei hiyo gharama ya matengenezo mwenye uhakika atujuze.
Mbali na mashine hiyo kuna hospitali zingine hapa nchini hazina hata x-ray machine.Kama uliangalia taarifa ya habari ya ITV juzi usiku tatizo la kukosekana kwa mashine ya x-ray liliripotiwa ktk hospitali ya serikali mkoani Tanga ambapo mtu aliepata ajali alishindwa kuhudumiwa kutukona na kukosekana kwa mashine hiyo.
Nasema hii ni aibu kwa serikali na inabidi kwenye katiba mpya tupitishe uamuzi wa kutaka viongozi wa serikali nao watibiwe hapa nchini na ipige marufuku viongozi kutibiwa nje ya nchi.Labda hii itasaidia kuondoa dhuluma hii. Sasa madaktari wanapogoma nani wa kulaumiwa kama sio serikali?Hivi haya ndio maisha bora kwa kila mtanzania!
Binafsi habari hii imichefua na kunisikitisha kuona ni jinsi gani serikali yete inavyoendekeza anasa wakati inashindwa kutoa huduma za msingi kwa watu wake.Mashine ya CT scan pale muhimbili kwa mujibu wa vyombo vya habari imekuwa mbovu kwa muda wa miezi saba ila serikali inapiga dana dana kuitengeneza na matengenezo yake ni kama milioni mbili hivi kama sikosei.Kama nimekosei hiyo gharama ya matengenezo mwenye uhakika atujuze.
Mbali na mashine hiyo kuna hospitali zingine hapa nchini hazina hata x-ray machine.Kama uliangalia taarifa ya habari ya ITV juzi usiku tatizo la kukosekana kwa mashine ya x-ray liliripotiwa ktk hospitali ya serikali mkoani Tanga ambapo mtu aliepata ajali alishindwa kuhudumiwa kutukona na kukosekana kwa mashine hiyo.
Nasema hii ni aibu kwa serikali na inabidi kwenye katiba mpya tupitishe uamuzi wa kutaka viongozi wa serikali nao watibiwe hapa nchini na ipige marufuku viongozi kutibiwa nje ya nchi.Labda hii itasaidia kuondoa dhuluma hii. Sasa madaktari wanapogoma nani wa kulaumiwa kama sio serikali?Hivi haya ndio maisha bora kwa kila mtanzania!
Since the President of Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete addressed the Nation on 31st July 2012, I have received numerous calls and messages from people asking me, "How much does a CT Scanner cost?" This is because In his Speech, the President said some people are comparing the price of SUV Landcruiser (shangingi) to a price of CT scan. He even said jokingly " Waje Tuwape pesa wakatuletee…Labda waende China", Well I have one message to Mr. President, ‘even in China, You cannot get a CT for a price of a Landcruiser'.
The views am going to write are informed by my 10 years experience in the Medical Systems Industry-having worked for Philips Medical Systems and their sole Distributor in Tanzania. I want to share with my readers, and my fellow Tanzanians an insight of what real cost of CT Scan is. As an expert in Finance, I find it prudent to let my readers know what it takes to invest in CT Scan.
What is a CT Scan?
X-ray computed tomography, also computed tomography (CT scan) or computed axial tomography (CAT scan), is a medical imaging procedure that utilizes computer-processed X-rays to produce tomographic images or ‘slices' of specific areas of the body. These cross-sectional images are used for diagnostic and therapeutic purposes in various medical disciplines.
How Much does a CT Scan Cost? and that is just too broad of a question. It is a little like asking how much a car costs. A Toyota Corolla isn't going to cost you much… you may be able to just pull it for 5M… but that 2012 Mercedes-Benz C-Class is going to be a touch more expensive.
So in order to make sure you get the CT Scanner you need for the right price you should be ready to answer the following questions:
What types of studies will you be performing?
This will help narrow down on how many Slices per Rotation your scanner will take. For example, if you are performing a lot of Cardiac Studies you should probably buy a 64 Slice CT due to the constant motion of the heart. Whereas Angio and Perfusion studies can often be done effectively with a lower end model scanners. Answering this question will also determine if you need a unique software option (Cardiac, Fluoro, Perfusion, etc).
Do you prefer a certain manufacturer?
PHILIPS, GE, Siemens, and Toshiba are the 4 big names in CT. If you can only take one of them, you've just eliminated 75% of your options. Well i will definately advice you on a Philips CT.
Other Questions Would be; What is your budget? and the size of your medical centre/Hospital.For a hospital like Muhimbili i would suggest a 64 slices and not less or a 128 Slices if budget allows.
Now i can give you some guidelines for Delivered and Installed pricing on New CT scanners:
Most Companies has stopped the the manufacturing of 6 Slice scan, unless you get a refurblished one from China.. which will cost about $ 150,000 and above.
- 16 Slice: $400,000 – $450,000
- 64 Slice: $800,000 – $900,000
- 128 Slice: $1,000,000 – $1,200,000
- 256 Slice: Not less than $1,500,000
Somebody remind me how much does a Brand New SUV Landcruiser cost? Last time I checked it was ranging from USD 60,000 to 80,000….therefore comparing CT Scan and Landcruiser is a satirical gimmick.
Source: monfinance.com