Dr. Chitage: Mashine moja ya CT scan ni sawa na bei ya Toyata shangingi moja!

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,372
Katibu wa jumuiya ya madaktari nchini ameweka wazi kuwa bei ya mashine moja ya CT scan ni sawa na bei ya kununulia shangingi moja.Alisema kama serikali ingekuwa na nia ya kununua mashine hiyo isingeshindwa. kwa habari zaidi soma gazeti la mwananchi la leo.

Binafsi habari hii imichefua na kunisikitisha kuona ni jinsi gani serikali yete inavyoendekeza anasa wakati inashindwa kutoa huduma za msingi kwa watu wake.Mashine ya CT scan pale muhimbili kwa mujibu wa vyombo vya habari imekuwa mbovu kwa muda wa miezi saba ila serikali inapiga dana dana kuitengeneza na matengenezo yake ni kama milioni mbili hivi kama sikosei.Kama nimekosei hiyo gharama ya matengenezo mwenye uhakika atujuze.

Mbali na mashine hiyo kuna hospitali zingine hapa nchini hazina hata x-ray machine.Kama uliangalia taarifa ya habari ya ITV juzi usiku tatizo la kukosekana kwa mashine ya x-ray liliripotiwa ktk hospitali ya serikali mkoani Tanga ambapo mtu aliepata ajali alishindwa kuhudumiwa kutukona na kukosekana kwa mashine hiyo.

Nasema hii ni aibu kwa serikali na inabidi kwenye katiba mpya tupitishe uamuzi wa kutaka viongozi wa serikali nao watibiwe hapa nchini na ipige marufuku viongozi kutibiwa nje ya nchi.Labda hii itasaidia kuondoa dhuluma hii. Sasa madaktari wanapogoma nani wa kulaumiwa kama sio serikali?Hivi haya ndio maisha bora kwa kila mtanzania!
Since the President of Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete addressed the Nation on 31st July 2012, I have received numerous calls and messages from people asking me, "How much does a CT Scanner cost?" This is because In his Speech, the President said some people are comparing the price of SUV Landcruiser (shangingi) to a price of CT scan. He even said jokingly " Waje Tuwape pesa wakatuletee…Labda waende China", Well I have one message to Mr. President, ‘even in China, You cannot get a CT for a price of a Landcruiser'.

The views am going to write are informed by my 10 years experience in the Medical Systems Industry-having worked for Philips Medical Systems and their sole Distributor in Tanzania. I want to share with my readers, and my fellow Tanzanians an insight of what real cost of CT Scan is. As an expert in Finance, I find it prudent to let my readers know what it takes to invest in CT Scan.


What is a CT Scan?
X-ray computed tomography
, also computed tomography (CT scan) or computed axial tomography (CAT scan), is a medical imaging procedure that utilizes computer-processed X-rays to produce tomographic images or ‘slices' of specific areas of the body. These cross-sectional images are used for diagnostic and therapeutic purposes in various medical disciplines.

How Much does a CT Scan Cost? and that is just too broad of a question. It is a little like asking how much a car costs. A Toyota Corolla isn't going to cost you much… you may be able to just pull it for 5M… but that 2012 Mercedes-Benz C-Class is going to be a touch more expensive.

So in order to make sure you get the CT Scanner you need for the right price you should be ready to answer the following questions:

What types of studies will you be performing?

This will help narrow down on how many Slices per Rotation your scanner will take. For example, if you are performing a lot of Cardiac Studies you should probably buy a 64 Slice CT due to the constant motion of the heart. Whereas Angio and Perfusion studies can often be done effectively with a lower end model scanners. Answering this question will also determine if you need a unique software option (Cardiac, Fluoro, Perfusion, etc).

Do you prefer a certain manufacturer?

PHILIPS, GE, Siemens, and Toshiba are the 4 big names in CT. If you can only take one of them, you've just eliminated 75% of your options. Well i will definately advice you on a Philips CT.

Other Questions Would be; What is your budget? and the size of your medical centre/Hospital.For a hospital like Muhimbili i would suggest a 64 slices and not less or a 128 Slices if budget allows.

Now i can give you some guidelines for Delivered and Installed pricing on New CT scanners:

  • 16 Slice: $400,000 – $450,000
  • 64 Slice: $800,000 – $900,000
  • 128 Slice: $1,000,000 – $1,200,000
  • 256 Slice: Not less than $1,500,000
Most Companies has stopped the the manufacturing of 6 Slice scan, unless you get a refurblished one from China.. which will cost about $ 150,000 and above.
Somebody remind me how much does a Brand New SUV Landcruiser cost? Last time I checked it was ranging from USD 60,000 to 80,000….therefore comparing CT Scan and Landcruiser is a satirical gimmick.

Source: monfinance.com
 
inasikitisha sana...kwa gharama tu serikali iliyotumia kusheherekea miaka 50 ya uhuru sijui wangenunua ct scan ngapi?
 
Ningependa kujua bei za mashine mbalimbali za afya ili nilinganishe na vitu ambavyo serikali inavipa kipaumbele km. mashangingi na matamasha.
 
Kwenye ishu ya vipaumbele (priorities) tulisha fail siku nyingi sana,hatujui kipi tufanye na kipi tuache ktk muda fulani,kupanga ni kuchagua km umeshindwa kuchagua unafikir kuna kitu gani tena?

Kulikuwa na umuhimu gani wa kufanya sherehe ya miaka 50 ya uhuru kw gharama kubwa kiasi kile?

Kulikuwa na umuhimu gani wa kukimbiza mwenge kwa mwaka huu wkt hata azma yake haieleweki?

Kulikuwa na umuhimu gani wa kuongeza ukubwa wa baraza la mawazir badala ya kuincrease efficience ktk mawaziri wachache?kulikua na ulazima gani wa kuongeza mikoa na wilaya ktk kipindi hiki?

Haya ni machache lakini yako mengi sana ya kiuendawazimu yanayofanywa na serikali hii DHAIFU naya KICHOVU.
 
Huyo Daktari ni muongo wa kutupwa, siku hizi kila kitu kiko wazi, gharama ya CT scan hii hapa:

the compute tomography machine costs depends upon the technology systems
siemens ------------------200000 usd approx
toshiba -------------------180000 usd approx
beckam coulter------------250000 usd approx
sharp------------------------200000 usd approx
ge----------------------------300000 usd approx
phillips ----------------------140000 usd approx



Plus software and technician time. We just got a new siemens definition and its costing 450k (minus software upgrades) so that 200k is really low ball.

There is also the cost of the Tomography room where the unit sits in. It consists of specialty HVAC system that provide perfect humidity and temp.control. Also specail independent electrical circuits to power the equipment, and RAM (radio absorbent)materials for the walls. The cost of a CT room can varry from $250,000- $750,000.
 
Huyo Daktari ni muongo wa kutupwa, siku hizi kila kitu kiko wazi, gharama ya CT scan hii hapa:

the compute tomography machine costs depends upon the technology systems
siemens ------------------200000 usd approx
toshiba -------------------180000 usd approx
beckam coulter------------250000 usd approx
sharp------------------------200000 usd approx
ge----------------------------300000 usd approx
phillips ----------------------140000 usd approx



Plus software and technician time. We just got a new siemens definition and its costing 450k (minus software upgrades) so that 200k is really low ball.

There is also the cost of the Tomography room where the unit sits in. It consists of specialty HVAC system that provide perfect humidity and temp.control. Also specail independent electrical circuits to power the equipment, and RAM (radio absorbent)materials for the walls. The cost of a CT room can varry from $250,000- $750,000.

mkuu umeilewa hiyo paste yako? angalia vizuri ulipocopy...........si lazima uchangie kitu ambacho huna ujuzi nacho..dr.dee
 
Huyo Daktari ni muongo wa kutupwa, siku hizi kila kitu kiko wazi, gharama ya CT scan hii hapa:

the compute tomography machine costs depends upon the technology systems
siemens ------------------200000 usd approx
toshiba -------------------180000 usd approx
beckam coulter------------250000 usd approx
sharp------------------------200000 usd approx
ge----------------------------300000 usd approx
phillips ----------------------140000 usd approx



Plus software and technician time. We just got a new siemens definition and its costing 450k (minus software upgrades) so that 200k is really low ball.

There is also the cost of the Tomography room where the unit sits in. It consists of specialty HVAC system that provide perfect humidity and temp.control. Also specail independent electrical circuits to power the equipment, and RAM (radio absorbent)materials for the walls. The cost of a CT room can varry from $250,000- $750,000.

Inasikitisha kuwa wewe unaonekana mtaalam lakini bado unatetea upuuzi. Rpoti ya CAG iliweka bayana kuwa mashangingi yaliyopo serikalini kwa sasa yanagharimu kama Tshs. 5 trillioni na bado wanendelea kununua kila kukicha. Kama wangekuwa wanaweka vipaumbele vizuri, kila Hospitali ya mkoa ingekuwa na CT scan yake pamoja na vifaa vingine muhimu.

Kwa hili serikali haina pa kujisitiri, UDHAIFU unajionesha waziwazi...:hat:
 
Huyo Daktari ni muongo wa kutupwa, siku hizi kila kitu kiko wazi, gharama ya CT scan hii hapa:

the compute tomography machine costs depends upon the technology systems
siemens ------------------200000 usd approx
toshiba -------------------180000 usd approx
beckam coulter------------250000 usd approx
sharp------------------------200000 usd approx
ge----------------------------300000 usd approx
phillips ----------------------140000 usd approx



Plus software and technician time. We just got a new siemens definition and its costing 450k (minus software upgrades) so that 200k is really low ball.

There is also the cost of the Tomography room where the unit sits in. It consists of specialty HVAC system that provide perfect humidity and temp.control. Also specail independent electrical circuits to power the equipment, and RAM (radio absorbent)materials for the walls. The cost of a CT room can varry from $250,000- $750,000.

zomba, kwa bei hizo chukulia philips 140,000 x1600 = Tshs 224,000,000/- Shangingi bei gani?
Hata hivyo unaweza kuishi bila shangingi, lakini kama hakuna vifaa stahiki vya kutibu/kujua ugonjwa badi uhai unakuwa hatarini.

Serikali ina miliki magari yenye thamani ya Tsh 5 trillion. Wangetoa hapo trillion moja tu ikaelekezwa kununua vifaa kwenye hospitali zetu tungeokoa maisha ya watu wengi. Ukishinda Muhimbili hata kwa siku moja tu utaona ni jinsi gani mambo ni magumu. Huko mikoani ndio usiseme. Nilikuwa Mara kwa kweli inatia huruma. Madaktari wanatumia vibaratari kusaidia wamama wanaojifungua. Hata maji hakuna!

Kama kuna mtu anaweza kuweka idadi ya hospitali kubwa za serikali (Wilaya & Mkoa) halafu tukawa na list ya vifaa muhimu vinavyokosekana including x-machines na vitanda, then tupige hesabu. Pengine wabunge wanatakiwa wafanye hii kazi na kujua walau pa kuanzia ni wapi.
 
Niliwahi pitia taarifa moja toka Wiizara ya Afya kwa mwaka 2010 iliyoonyesha kuwa;

kati ya X-ray machines 350 zilizokuwepo nchini mwaka huo, 75 zilikuwa mbovu (21.4 %), na kati ya utra Sound machine 251 zilizokuwepo nchini mwaka huo, 8 zilikuwa mbovu (3.2 %). Vilevile kati ya viti 477 vya kutumia kutumia kutibia meno, 77 vililikuwa vibovu (16.1 %), na kati ya X ray machine 58 za kuchunguzia meno, 17 zilikuwa mbovu (29.3 %).

Takwimu hizi hazioonyesh dalili njema kuhusu upatikanaji wa huduma za vipimo vya huduma za afya kwa watanzania. Kwa mwaka jana, na huu sijui kama ndiyo hoi zaidi au nafuu maradufu. Nendeni Wizara ya Afya mukawaulize, au tembelea website yao (http://www.moh.go.tz) labda waweza ambulia kitu, (mimi nimejaribu nimeshindwa kupitia simu yangu ya kizamani).
 
Huyo Daktari ni muongo wa kutupwa, siku hizi kila kitu kiko wazi, gharama ya CT scan hii hapa:

the compute tomography machine costs depends upon the technology systems
siemens ------------------200000 usd approx
toshiba -------------------180000 usd approx
beckam coulter------------250000 usd approx
sharp------------------------200000 usd approx
ge----------------------------300000 usd approx
phillips ----------------------140000 usd approx



Plus software and technician time. We just got a new siemens definition and its costing 450k (minus software upgrades) so that 200k is really low ball.

There is also the cost of the Tomography room where the unit sits in. It consists of specialty HVAC system that provide perfect humidity and temp.control. Also specail independent electrical circuits to power the equipment, and RAM (radio absorbent)materials for the walls. The cost of a CT room can varry from $250,000- $750,000.

Ok Zomba, lets say upo right. sasa tupe faida ya shangingi over CT scan kwa waTz.
 
Utasikia mijinga kule bungeni inasimama na kusema kwanza naunga mkono 100 kwa 100....wakati issues zinazo matter the most hazipewi kipaumbele. SHAME Bunge la viti maalum.
 
huyo jamaa alie paste hizo bei inaonekana anajua kuwa ni tsh pili dollar rate ya xchange ni 1585-1590 inategemea na bureau
 
Kutokana na utafiti huu mdogo....ni wazi kuwa Serikali yaweza kutatua maswala ya vitendea kazi
Lakini kwanini Serikali haifanyi hivyo?

Lakini hapana, swali latikiwa kuwa: Nani ananufaika na ukosefu wa vitendea kazi hospitali za Serikali? Ufisadi mwengine huu
 
Back
Top Bottom