mwanaharakati m
Member
- Jan 9, 2011
- 48
- 0
acha majungu, Dr Lwaitama anaishi vizuri tu, nafahamu mpaka kwake. he is just a normal person na maisha ya kati kama mfanyakazi wa ummaDr Lwaitama kwa mshahara, machapisho, ziara zake nje na ndani haviendani kabisa na maisha anayoishi yeye na familia yake. Ni kipenzi tu cha watu wa Tv. Anaelekea kushindwa sana maisha!