Vyeo vya KISIASA havipatikani kwa SIFA na VIPAJI ulivyonavyo PEKEE! Ni lazima apatikane wa kukubeba. Mnamkumbuka Tuntemeke Sanga?I agree with you. Asha is a capable indivudual, inteligent woman and hard working person. Kwenye ambayo ina patrichal system kama yetu, kwenda juu kwa wanawake kwenye siasa kunategemea kwa kiasi kikubwa ridhaa ya wanaume. Vilevile ikumbukwe uwezo wa urais hautokani na kufanya interviews nzuri, it is much much more than that.
Hata hivyo pamoja na kuwa Asha haziwezi siasa za ufisadi, majungu, fitan na vitu kama hivyo, lazima tukubali kuwa ana uwezo mkubwa mara nyingi kuliko muungwana. Sasa hivi rais anayetafutwa ni wa 2010 hatuhitaji wa 2015 kwa sababu tatizo sasa liko 2010. I wonder why some people are trying to talk about 2015 while 2010 is a bigger headache that 2015. Are you out of your mind?
Rais wa 2010 ni JK. Tusipoteze muda.