morees
JF-Expert Member
- Apr 21, 2019
- 288
- 612
Mtunzi wa vibonzo DW na mawazo yake .
Mbunge wa Mbeya na spika wa bunge la jamuhuri ya Tanzania leo akihutubia wananchi wakati wa uzinduzi wa majengo ya shule amewataka wanachama wa chama cha mapinduzi kutomvuta shati kiongozi mkuu wa chama hicho ambaye ni Raisi wa Tanzania katika swala zima la kuleta maendeleo nchini.
Kumekuwepo na mijadala mbalimbali juu ya mikataba iliyofanywa na serikali ya Tanzania na Dubai chini ya kampuni ya DP World kuhusu ukomo wa muda wa kumpuni hiyo kufanya shuguli zake katika bandari kuu ya Dare Salam..
Tafakari kibonzo weka maoni yako..
Mbunge wa Mbeya na spika wa bunge la jamuhuri ya Tanzania leo akihutubia wananchi wakati wa uzinduzi wa majengo ya shule amewataka wanachama wa chama cha mapinduzi kutomvuta shati kiongozi mkuu wa chama hicho ambaye ni Raisi wa Tanzania katika swala zima la kuleta maendeleo nchini.
Kumekuwepo na mijadala mbalimbali juu ya mikataba iliyofanywa na serikali ya Tanzania na Dubai chini ya kampuni ya DP World kuhusu ukomo wa muda wa kumpuni hiyo kufanya shuguli zake katika bandari kuu ya Dare Salam..
Tafakari kibonzo weka maoni yako..