DP World sasa tafrani ndani ya chama

morees

JF-Expert Member
Apr 21, 2019
288
612
Mtunzi wa vibonzo DW na mawazo yake .
Screenshot_20230802-174530_Instagram.jpg

Mbunge wa Mbeya na spika wa bunge la jamuhuri ya Tanzania leo akihutubia wananchi wakati wa uzinduzi wa majengo ya shule amewataka wanachama wa chama cha mapinduzi kutomvuta shati kiongozi mkuu wa chama hicho ambaye ni Raisi wa Tanzania katika swala zima la kuleta maendeleo nchini.

Kumekuwepo na mijadala mbalimbali juu ya mikataba iliyofanywa na serikali ya Tanzania na Dubai chini ya kampuni ya DP World kuhusu ukomo wa muda wa kumpuni hiyo kufanya shuguli zake katika bandari kuu ya Dare Salam..

Tafakari kibonzo weka maoni yako..
 
Mbeya wakimrudisha Bungeni
itabidi wachapwe viboko
NA HUU UWE MWISHO KWAKE
mume anatunyoosha EWURA
nae Bungeni anatumia ubabe
sasa itoshe kusema BASIIIIIII
na huyo boss wa chama BASIIIIII
Muungano usio na faida BASIIIIIIIII
 
Mtunzi wa vibonzo DW na mawazo yake .
View attachment 2706414
Mbunge wa Mbeya na spika wa bunge la jamuhuri ya Tanzania leo akihutubia wananchi wakati wa uzinduzi wa majengo ya shule amewataka wanachama wa chama cha mapinduzi kutomvuta shati kiongozi mkuu wa chama hicho ambaye ni Raisi wa Tanzania katika swala zima la kuleta maendeleo nchini.

Kumekuwepo na mijadala mbalimbali juu ya mikataba iliyofanywa na serikali ya Tanzania na Dubai chini ya kampuni ya DP World kuhusu ukomo wa muda wa kumpuni hiyo kufanya shuguli zake katika bandari kuu ya Dare Salam..

Tafakari kibonzo weka maoni yako..
Hii inafaa aione mkuu 'Erythrocyte' aiweke kwenye makabrasha ya kumbukumbu zake.
 
Back
Top Bottom