al adawi amesema amekuja kuongea na tanesco, wala hana shida na ngeleja. Na amesema yuko tayari kupunguza gharama badala ya bilioni 94 tulizotakiwa kumipa basi atatuunguzia kidogo waau tupate kiasi cha kuwalipa waathirika wa makombora gongo la mboto.
Sasa kama jana tu ametangaza kuongea na tanesco na leo mtambo umewashwa, hiyo ni kusema aliitisha waandishi wa habari huku akiwa amemaliza mazungumzo na tanesco, vinginevyo watakuwa wamezungumza fasta kama kawaida yao inapokuja suala la dharura ni wepesi wa kufanya negotiation na kufikia maamuzi.
Mramba alisema hata watanzania tule majani ilikuwa lazima ndege ya raisi inunuliwe, mimi nimefikiwa uamuzi wa kukaa gizani kusubiri mvua ya Mungu ijaze mabwawa ya Mtera na Kidatu kuliko umeme wa RA, JK na serikali yake wametusaliti na kututupa kamwe si Mungu, na njia pekee ya kutuokoa watanzania kwa sasa nikupitia matatizo.IPTL inatutafuna zaidi. Acheni wawashe DOWANS. Siasa zikae kando kwanza.
Tutaona mengi hadi tutoboe mitano?
Mkuu kwa style hii kweli tutashinda hivi vita?Jamani waacheni wawashe tupate umeme; mimi nina zaidi ya mwezi sijaweza kuwauliza wanangu wanionyeshe homework zao kutokana na shida ya umeme. Kuna viwanda vinafanya kazi siku tatu kwa wiki kutokana na hii shida.
Ila kama ni kuwalipa DOWANS, walipie kuinunua hiyo mitambo kwa bei yake ya sasa ondoa uchakavu wa miaka mitatu.
...is very poor!Du
This country bwana!!!!!
Ndiyo maana leo huku Vijibweni kuna umeme!!!!!!!!!!!!!!!!!
is very poor!:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:Du
This country bwana!!!!!