Double Standards za Ikulu kumtetea Ombeni Sefue

George Smiley

JF-Expert Member
Oct 24, 2011
471
266
Ikulu imetoa press release kumtetea Katibu Mkuu ombeni sefue ambaye anakabiliwa na tuhuma za rushwa na kampuni ya ujenzi ya kichina ya CRJE

Cha ajabu ni kuwa utetezi wao umekuwa one sided. Iweje wao wanamtetea Ombeni sefue lakini wengine haijawatetea?

Ina maana kuwa kwenye hizi tuhuma za majipu kuna sheria nyingine kwa wafanyakazi wa serikali na kuna nyingine ya Ombeni Sefue?

Hizi double standards tulidhani zitaondoka kipindi hiki cha awamu 5 lakini bado tuko kule kule zama za zamani za impunity.

Kwa utetezi wa leo wa Ikulu ina maana wanasema kuwa watuhumiwa wengine wako GUILTY lakini sefue ni SAFI?

Wameona taabu gani kutoa statement ambayo ni impartial na isiyoegemea upande wowote?

Ahhh nimesahau, usikute statment imeandikwa na huyo huyo sefue.

Once again, tuko kwenye zama za ANIMAL FARM ya George Orwell , wanyama wengine ni bora kuliko wengine
 
Waliotoa utetezi huo ni Idara ya Habari Maelezo, na sio Ikulu kama ulivyoeleza. Kimsingi ktk utetezi huo wamekanusha kwa Hoja zenye mantiki tuhuma zilizoandikwa kwenye gazeti husika dhidi ya Balozi Sefue.
Kwahivyo kama wewe mleta mada hujaridhishwa na utetezi huo, wasilisha ushahidi wa tuhuma za Sefue kwenye mamlaka zilizoainishwa kwenye taarifa husika..
 
Nilitegemea kuwa wangekuja na statement kuwa kama kuna mwenye ushaidi aende kwenye vyombo vya sheria/dola

In otherwords nilikuwa upande wa Ikulu mpaka niliposoma hiyo statement yao.

Ki uhalisia burden of proof ilikuwa upande wa gazeti la Dira, wataalam wa sheria wanamsemo wao wa kilatin unasema "semper necessitas probandi incumbit ei qui agit"

Lakini kutokana na utetezi huu wa Ikulu it makes me question kila kitu kwenye hii vita dhidi ya the so called Majipu. On one hand tunaambiwa kuna watu wana settle vita vyao na mabifu yao. On the other hand inaonekana wengine ni UNTOUCHABLES.

Pia siamini kama hii taarifa haina mkono wa Sefue.

Impartiality iko wapi?
 
ikulu ni ipi? ba idara ya habari ni ipi?

Huijua hata Idara ya Habari Maelezo? Taarifa za Ikulu hutolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu (kwa sasa Kaimu). Idara ya Habari Maelezo Mkurugenzi wake Asah Mwambene. Huoni tofauti kati ya Ikulu na Idara ya Habari Maelezo?
 
Huijua hata Idara ya Habari Maelezo? Taarifa za Ikulu hutolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu (kwa sasa Kaimu). Idara ya Habari Maelezo Mkurugenzi wake Asah Mwambene. Huoni tofauti kati ya Ikulu na Idara ya Habari Maelezo?
idara ya habari na maelezo kazi yake nn?
 
Waliotoa utetezi huo ni Idara ya Habari Maelezo, na sio Ikulu kama ulivyoeleza. Kimsingi ktk utetezi huo wamekanusha kwa Hoja zenye mantiki tuhuma zilizoandikwa kwenye gazeti husika dhidi ya Balozi Sefue.
Kwahivyo kama wewe mleta mada hujaridhishwa na utetezi huo, wasilisha ushahidi wa tuhuma za Sefue kwenye mamlaka zilizoainishwa kwenye taarifa husika..
Usiwe kama mburula! Tuhuma hizo zinapaswa kuchunguzwa na TAKUKURU haraka sana! Hao ndiyo wanapaswa kumsafisha!
Huijua hata Idara ya Habari Maelezo? Taarifa za Ikulu hutolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu (kwa sasa Kaimu). Idara ya Habari Maelezo Mkurugenzi wake Asah Mwambene. Huoni tofauti kati ya Ikulu na Idara ya Habari Maelezo?
 
Utetezi umetolewa na Idara ya Habari Maelezo, sio Ikulu.
Do you seriously think kuwa hiyo statement hajaifanyia editing kama sio kuiandika mwenyewe?
Kama kweli wanataka haki itendeke why wamtetee Sefue na wengine waachwe?
 
Back
Top Bottom