How far are you sure?Do you seriously think kuwa hiyo statement hajaifanyia editing kama sio kuiandika mwenyewe?
Kama kweli wanataka haki itendeke why wamtetee Sefue na wengine waachwe?
How far are you sure?
Good for youIm 100% sure
Ikulu imetoa press release kumtetea Katibu Mkuu ombeni sefue ambaye anakabiliwa na tuhuma za rushwa na kampuni ya ujenzi ya kichina ya CRJE
Cha ajabu ni kuwa utetezi wao umekuwa one sided. Iweje wao wanamtetea Ombeni sefue lakini wengine haijawatetea?
Ina maana kuwa kwenye hizi tuhuma za majipu kuna sheria nyingine kwa wafanyakazi wa serikali na kuna nyingine ya Ombeni Sefue?
Hizi double standards tulidhani zitaondoka kipindi hiki cha awamu 5 lakini bado tuko kule kule zama za zamani za impunity.
Kwa utetezi wa leo wa Ikulu ina maana wanasema kuwa watuhumiwa wengine wako GUILTY lakini sefue ni SAFI?
Wameona taabu gani kutoa statement ambayo ni impartial na isiyoegemea upande wowote?
Ahhh nimesahau, usikute statment imeandikwa na huyo huyo sefue.
Once again, tuko kwenye zama za ANIMAL FARM ya George Orwell , wanyama wengine ni bora kuliko wengine
Mbona kwa wengine huwa hawahitaji ushahidi?Waliotoa utetezi huo ni Idara ya Habari Maelezo, na sio Ikulu kama ulivyoeleza. Kimsingi ktk utetezi huo wamekanusha kwa Hoja zenye mantiki tuhuma zilizoandikwa kwenye gazeti husika dhidi ya Balozi Sefue.
Kwahivyo kama wewe mleta mada hujaridhishwa na utetezi huo, wasilisha ushahidi wa tuhuma za Sefue kwenye mamlaka zilizoainishwa kwenye taarifa husika..
Idara ya Habari Maelezo inahusikaje na mambo personal ya sefue maana ametuhumiwa yy binafsi kwa kutumia cheo chake labda kama ndio sielewiHuijua hata Idara ya Habari Maelezo? Taarifa za Ikulu hutolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu (kwa sasa Kaimu). Idara ya Habari Maelezo Mkurugenzi wake Asah Mwambene. Huoni tofauti kati ya Ikulu na Idara ya Habari Maelezo?
Waliotoa utetezi huo ni Idara ya Habari Maelezo, na sio Ikulu kama ulivyoeleza. Kimsingi ktk utetezi huo wamekanusha kwa Hoja zenye mantiki tuhuma zilizoandikwa kwenye gazeti husika dhidi ya Balozi Sefue.
Kwahivyo kama wewe mleta mada hujaridhishwa na utetezi huo, wasilisha ushahidi wa tuhuma za Sefue kwenye mamlaka zilizoainishwa kwenye taarifa husika..
Wengine wakituhumiwa tu wanasimamishwa kazi "ili kupisha uchunguzi!" Sasa kwa nini Sefue naye asipishe uchunguzi?Idara ya Habari Maelezo inahusikaje na mambo personal ya sefue maana ametuhumiwa yy binafsi kwa kutumia cheo chake labda kama ndio sielewi
Kamanda, mbona wewe huwa unamteteaga mwenyekiti wako? Mkuki kwa nguruwe......Si ajitetee Mwenyewe? Hizo ni Dalili za Double Standard kweli
Tukisema Mbowe hasitetewe na Makene kwenye kashfa binafsi mnakuwa wakali, ila kwa Sefue ukweli ndio mnauona ?Si ajitetee Mwenyewe? Hizo ni Dalili za Double Standard kweli
Ikulu imetoa press release kumtetea Katibu Mkuu ombeni sefue ambaye anakabiliwa na tuhuma za rushwa na kampuni ya ujenzi ya kichina ya CRJE
Cha ajabu ni kuwa utetezi wao umekuwa one sided. Iweje wao wanamtetea Ombeni sefue lakini wengine haijawatetea?
Ina maana kuwa kwenye hizi tuhuma za majipu kuna sheria nyingine kwa wafanyakazi wa serikali na kuna nyingine ya Ombeni Sefue?
Hizi double standards tulidhani zitaondoka kipindi hiki cha awamu 5 lakini bado tuko kule kule zama za zamani za impunity.
Kwa utetezi wa leo wa Ikulu ina maana wanasema kuwa watuhumiwa wengine wako GUILTY lakini sefue ni SAFI?
Wameona taabu gani kutoa statement ambayo ni impartial na isiyoegemea upande wowote?
Ahhh nimesahau, usikute statment imeandikwa na huyo huyo sefue.
Once again, tuko kwenye zama za ANIMAL FARM ya George Orwell , wanyama wengine ni bora kuliko wengine
sio dalili ,mkuu bali ni double standard waziwazi kwasababu tumeshuhudia baadhi ya wakuu wa mashirika ya umma wamefukuzwa kazi kwa tuhuma tu au tetesi ambazo hazijathibitishwa lakini kwahili la sefue nahisi litalindwa kwelikweli ikiwezekana hata kwa sheria ya makosa ya mtandao kuwasilence critics...haya majipu wanatumbuliwa watu ili kuwatoa kwenye nafac zao na kuwaweka wanaowapenda wao..isingekua kuwa hivyo hawa wanaotumbuliwa wangepelekwa mahakamani kwanza huko ndo wakaonekane kama wana hatia na kama hawana warudi kwenye nafac zao za kazi..Si ajitetee Mwenyewe? Hizo ni Dalili za Double Standard kweli