Binadamu bhana anazidi kuwa complicated kila siku...Udictator inabidi urudi jaman kumweka huyu binadam sawa
Dingi naomba uninunulie kisketi kana cha huyo mu-indonesia kushoto hapo, tafadhali sana.
but why mambo haya yanawahusu zaidi kina mama? Mbona hatuoni wanaume wakitembeza digidigi nje>>????:shock:
soma qur-an utajuwa kwanini mwanamke kaambiwa avae hijabu.
Wazungu watawavalisha vichupi hadi makanisani, kwanza manafungisha ndoa za jinsia moja (nabii luti)
yaani nyie hamna akili kweli mungu kakataa nguruwe,pombe lakini nyie wazungu wamewaambia mle mnakula, mfuateni yesu wa kwenye qur-an kama waislamu wanavyomfuata.
Unataka kutuambia kwenu Tanga mmeanza kugema mnazi baada ya kuja wazungu? au kule Iringa walifundishwa na wazungu kugema Ulanzi? Tena uwe na adabu kwa Mola wako, jina la Mungu halitamkwi kwa herufi ndogo. Inaonesha huyo unayemzungumzia sio yule tunayemuabudu sisi sote.soma qur-an utajuwa kwanini mwanamke kaambiwa avae hijabu.
Wazungu watawavalisha vichupi hadi makanisani, kwanza manafungisha ndoa za jinsia moja (nabii luti)
yaani nyie hamna akili kweli mungu kakataa nguruwe,pombe lakini nyie wazungu wamewaambia mle mnakula, mfuateni yesu wa kwenye qur-an kama waislamu wanavyomfuata.