Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 127
- Thread starter
- #41
Dokta Kitila wananchi wanachama na ulimwengu mzima unajua chama cha CDM ni Chama Cha DEMOKRASIA na Maendeleo je DEMOKRASIA ya chama cha CDM mchakato wake ndio upo kama hapa kwenye jedwali? Na je unaweza kutupa marks za Mama Msori Vs Joyce Mukya natanguliza shukrani zangu za dhati.
aVigezo vya uteuzi wa wabunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA 2010-2015
Na Kigezo Alama 1. Elimu 101.1 Shahada ya Uzamivu (PhD) 10 1.2 Shahada ya Uzamili (Masters Degree) 8 1.3 Shahada ya Kwanza/Stashahada ya Juu (Bachelors Degree/Advanced Diploma) 6 1.4 Stashahada/Kidato cha Sita (Diploma/Form Six) 4 1.5 Astashahada/Kidato cha Nne (Certificate/Form 4) 2 1.5 Darasa la Saba (Std VII) 1 1.6 Chini ya Darasa la Saba (Below Std VII) 0 2 Uzoefu wa uongozi wa kisiasa 102.1 Uzoefu wa kibunge 10 2.2 Uzoefu kitaifa (BAWACHA, n.k) 8 2.3 Uzoefu katika ngazi ya mkoa/aliyewahi kuchaguliwa kuwa diwani/aliyewahi kuchaguliwa katika ngazi ya serikali ya mtaa/kijiji 6 2.4 Uzoefu katika ngazi ya wilaya/aliyewahi kuwa diwani wa viti maalumu 4 2.5 Uzoefu katika ngazi ya kata 2 2.6 Uzoefu katika ngazi ya kijiji/tawi 1 3 Uzoefu wa uongozi nje ya siasa (km: katika asasi za kiraia, vyama vya wafanyakazi, taasisi za serikali, n.k.) 5 4 Mgombea ubunge katika jimbo la uchaguzi 104.1 Katika jimbo la rangi nyekundi (Red Constituency) 10 4.2 Katika jimbo la rangi ya bluu (Blue Constituency) 8 4.3 Katika jimbo la rangi nyeupe (White Constituency) 6 4.4 Katika jimbo vumbi (Dust Constituency) 2 5 Mchango wa hali na mali katika operations za chama na kampeni zinazoendelea 105.1 Daraja la I 10 5.2 Daraja la II 8 5.3 Daraja la III 6 5.4 Daraja la IV 4 5.5 Daraja la V 2 6 Umri katika chama 56.1 Zaidi ya miaka 10 5 6.2 Miaka 5-10 4 6.3 Miaka 2-4 3 6.3 Chini ya miaka 2 2 6.4 Chini ya mwaka 1 1 Jumla ya Alama 50