CR wa PROB
Senior Member
- Sep 21, 2011
- 170
- 29
Jamani Chadema imeishiwa sasa inataka pesa ili kujiandaa na uchaguzi wa 2015 na kuendeleza maandamano isabu zao sasa zimeenda kombo. Tunaomba wenye dhamana za hilo wasipandishe mishahara wala posho bungeni mpaka bunge lijalo
Punguza ushabiki wa siasa za Magamba, na sio vizuri kuandika madudu kama haya.