miami0101
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,336
- 1,271
Sio mambo yetu kwa awamu zilizopita, kwa sasa haya ni mambo yetu kabisa
*kutekana
*kutolea watu bastola mbele ya hadhara
*na sasa imefiki kushambulia kabisa
*ngoja tusubiri watalipua wapi baada ya ofisi za mawakili
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
*kutekana
*kutolea watu bastola mbele ya hadhara
*na sasa imefiki kushambulia kabisa
*ngoja tusubiri watalipua wapi baada ya ofisi za mawakili
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app