DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Wadau,
Nawasalimia ktk jina la Tanzania!

Kila mmoja wetu tuungane kumuombea Mh. Lissu ili apone haraka.

Mbinu hii chafu na dhalimu ya mabebari ya kutaka kutuchonganisha kwa kumpiga risasi Mh. Lissu ishindwe ktk jina la Tanzania. Watanzania tunaamini ktk umoja wetu, tunaamini ktk Tanzania. Mbinu zao nyingi zilishashindwa na hili watashindwa na Tanzania yetu itabaki.

Mungu ibariki nchi yetu Tanzania, na wale wote wanaotuonea wivu washindwe ktk jina la Tanzania.

Tuwe watulivu wadau tukisubiri vyombo vyetu chini ya Amri Jeshi Mkuu Dkt Magufuli vikifanya kazi ili kutoa mbivu na mbichi kwa kuwabaini wahusika na ili sharia ichukue mkondo wake.
Mchawi sio lazma awe analoga,lumumba wote wachawi roho hizo pole mkampe mwenyekiti wenu kwa kulialia jana kma vile yeye anauchungu sana,wakti nae walewale yani ukoo wa ndama mtoto wa kuku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Lissu pamoja na wingi wa vyeo vyake ameweza kushambuliwa mchana kweupe na watu wasiojulikana na kutokomea kusikojulikana ni vipi raia wa kawaida?
 
Dreva wake alimwambia Lissu kuwa kulikuwa na gari linawafuata nyuma; kwamba asishuke kwenye gari mara baada ya kufika Nyumbani. Muda huo gari lililokuwa likiwafuata likaanza kumimina risasi zilizomjeruhi vibaya Lissu. Dreva hakujeruhiwa! Hapa kuna clue ya intel. Dreva ahojiwe!
 
Back
Top Bottom