FORCE NAMBA
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 937
- 327
Mchawi sio lazma awe analoga,lumumba wote wachawi roho hizo pole mkampe mwenyekiti wenu kwa kulialia jana kma vile yeye anauchungu sana,wakti nae walewale yani ukoo wa ndama mtoto wa kukuWadau,
Nawasalimia ktk jina la Tanzania!
Kila mmoja wetu tuungane kumuombea Mh. Lissu ili apone haraka.
Mbinu hii chafu na dhalimu ya mabebari ya kutaka kutuchonganisha kwa kumpiga risasi Mh. Lissu ishindwe ktk jina la Tanzania. Watanzania tunaamini ktk umoja wetu, tunaamini ktk Tanzania. Mbinu zao nyingi zilishashindwa na hili watashindwa na Tanzania yetu itabaki.
Mungu ibariki nchi yetu Tanzania, na wale wote wanaotuonea wivu washindwe ktk jina la Tanzania.
Tuwe watulivu wadau tukisubiri vyombo vyetu chini ya Amri Jeshi Mkuu Dkt Magufuli vikifanya kazi ili kutoa mbivu na mbichi kwa kuwabaini wahusika na ili sharia ichukue mkondo wake.
mkibakwa mnalialia kama roma mkatolikiWewe ni mpumbavu kama uyo dikteta uchwara.
heri uwe mjinga kuliko kuwa mpumbavu.
mkibakwa mnalialia kama roma mkatolikiWewe ni mpumbavu kama uyo dikteta uchwara.
heri uwe mjinga kuliko kuwa mpumbavu.
Wewe ni mpumbavu kama uyo dikteta uchwara.
heri uwe mjinga kuliko kuwa mpumbavu.
mkibakwa mnalialia kama roma mkatolikiWewe ni mpumbavu kama uyo dikteta uchwara.
heri uwe mjinga kuliko kuwa mpumbavu.
mkibakwa mnalialia kama roma mkatolikiWewe ni mpumbavu kama uyo dikteta uchwara.
heri uwe mjinga kuliko kuwa mpumbavu.
Yes i do.
Huo ndo ukweli, hata wakikataa. Ni bahati mbaya kuwa na kiongozi mwemye sifa hizo, haya ndo matokeo yakeUlafi, Kutotaka kukosolewa, ubinafsi, sifa na tamaa za madaraka.
Yanajirudia! Wanataka kuipakazia Serikali!CHEZEA MWENYEKITI WEWE YA CHACHA WANGWE YANATAKA KUJIRUDIA
kaka acha ujinga basi kwani yeye alifanya hili tukio haumjui au unatetea ujingaMini kinachokupa sababu ya kusema hivi.
Manama sababu ya shambulio inaweza kuwa tofauti.
Tusubiri matamko rasmi kutoka vyombo vya Dola.
Sent using Jamii Forums mobile app