DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Tunapoendelea kutoa pole, we also need be real. Tujiulize: je sisi ni sehemu kweli ya pole tunazizitoa au sehemu ya tatizo lililompata Lissu? What did we say yesterday or last week? Je si sisi tuliokwenda huku na huku tukisema ni mchochezi? Si sisi tuliotaka aozee gerezani kwa sababu anakosoa kila kitu? Si sisi tuliosema si mzalendo kwa sababu amenunuliwa? What did you exactly do or say yesterday or last week?? If you want true healing, if you want your humility to be counted, be real and stop hypocrisy. God hates it.
 
There is no any reason on earth which can justify taking human life,or an attempt of doing so.Those who did this must be searched and brought to justice.
My God heal you soon,Amen.
 
Wadau,
Nawasalimia ktk jina la Tanzania!

Kila mmoja wetu tuungane kumuombea Mh. Lissu ili apone haraka.

Mbinu hii chafu na dhalimu ya mabebari ya kutaka kutuchonganisha kwa kumpiga risasi Mh. Lissu ishindwe ktk jina la Tanzania. Watanzania tunaamini ktk umoja wetu, tunaamini ktk Tanzania. Mbinu zao nyingi zilishashindwa na hili watashindwa na Tanzania yetu itabaki.

Mungu ibariki nchi yetu Tanzania, na wale wote wanaotuonea wivu washindwe ktk jina la Tanzania.

Tuwe watulivu wadau tukisubiri vyombo vyetu chini ya Amri Jeshi Mkuu Dkt Magufuli vikifanya kazi ili kutoa mbivu na mbichi kwa kuwabaini wahusika na ili sharia ichukue mkondo wake.
Mnafiki mkubwa we, si ajabu wewe ndiye uliyefyatua risasi hizo. wewe ndiye muuaji wake,
 
Demokrasia ndiyo iliyomfanya Tundu Lisu kuwa mwanachama wa Chadema, kuchaguliwa na wananchi wa Singida Mashariki kuwa Mbunge wao, na kuchaguliwa na Wanasheria nchini kuwa Rais wao. Matendo na tabia za TL zinavaa uhusika wake wa ama mwanasiasa au mwanasheria nchini ya mwamvuli mpana wa Demokrasia. Kumpiga risasi ni sawa na kuipiga risasi demokrasia na sheria nchini, hivyo ni wanademokrasia na wanasheria wachache sana duniani watakiunga mkono kitendo hiki cha kumpiga rasisi TL bila kujali ni nani alihusika. Ndiyo maana hata Rais Magufuli amekilaani kitendo hiki na kuagiza wahusika watafutwe haraka. Kama Rais na mwenyekiti wa CCM amekilaani kitendo hiki sembuse wafuasi wake TL na wapenda demekrasia na utawala wa sheria duniani? Hili ni DOA kali kwetu kama nchi.

TL sio mfanyabiashara kusema kuwa amedhulumiana na wafanyabiashara wenzake, hutajasikia kuwa anatembea na wake za watu, na wala hatujasikia kuwa ni mwizi wa kitu chochote, ila dunia inamfahamu na kumsikia wakati wa kufanya siasa na sheria tu basi chini ya mwamvuli wa demokrasia ya vyama vingi.
 
Sina maneno mengi ila napenda kutafakurisha kidogo, hili shambulio lina kila dalili za kisiasa. Limepangwa na upo uwezekano waliofanya shambulizi ni watu walioletwa kutoka nchi za jirani, zenye uzoefu wa kufanya matukio km haya..!

Kwa namna lilifanyika ni wazi kuwa limefanywa na watu wasio na uzoefu mkubwa na mazingira ya Tanzania kama nchi na wannchi wa Tanzania.

Kufyatua risasi nyingi hivi ni ishara ya uoga na kutoamini sehemu wanapofanyiwa tukio kwa maana walikuwa ni waoga na hawakujua vyema nature na hali ya hewa ya wananchi wa Tanzania.

Narudia tena, washambulizi wa Lissu watakuwa wamekuwa imported kutoka nje. Usiniulize nani kawaleta hilo jambo lingine ambalo linaweza kufanyiwa utafiti wake.
 
Tangu Agusti 6 jamaa walikuwa wanajua siku inayofuata ndo wakaandika ile barua ya pole
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kushambulia risasi nyingi sio ushamba. Ndiyo kazi ya machine gun, unabonya inafire automatic kwa haraka. Watakua walimimina nyingi kuhakikisha hawamuachi mzima. Hilo halitoshi kusema ni watu toka nchi jirani.
 
Back
Top Bottom