Lukwafya bhagasi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 1,236
- 1,249
Ndugai acha kutumika kisiasa kumbuka mwenzako sita aliharibu kipindi cha bunge la katiba tu kikatosha kuhukumiwa na wananchi hata ile siku baada ya kuwa amekufa,cheo ni dhamana kuna siku na wewe hautakuwa na hayo mamlaka ndo utakumbuka na wale uliowanyanyasa enzi zako