Hapa nilipo Nina hasira sana dhidi ya hii serikali🤣
Hii nchi ukiwa siriazi sana utaumia kichwa
Tz kuna maajabu mengi sana ndio maana wageni hawaishi kuja kushangaa.Jionee mwenyewe .
Huku wanatusumbuaga na MAVI ng'ora ila wakienda kwenye nchi za watu wanakuwa wadogo Mithili ya .piliton
View attachment 2658762
Kwani hapa ume fanya nini mkuu?Sikomenti chochote mana pesa ya kumlipa Kibatala sina
andika mkuu tutakuchangiaSikomenti chochote mana pesa ya kumlipa Kibatala sina
The Burning Spear a.k.a msemaji wa Chato una wivu kuliko hata mamkwe wako pimbi wewe! Na bado tutabinafsisha hadi hii JamiiForums ili iendeshwe na kuchangiwa mada na watu wenye fikra chanya sio kilaza kama wewe uliyejaa makasiriko! Vp Stendi kuu mpya ya chato kuna basi limeshawahi kuingia na kutoka baada ya kujengwa! Pimbi wewe Mwache Mama aendelee kuupiga mwingi jipu wewe!Jionee mwenyewe .
Huku wanatusumbuaga na MAVI ng'ora ila wakienda kwenye nchi za watu wanakuwa wadogo Mithili ya .piliton
View attachment 2658762
Nimeandika nikafuta, nikaandika tena nikafutaandika mkuu tutakuchangia