DODOMA: Bunge laazimia kuwa RC Dar na DC Arumeru waitwe mbele ya Kamati ya Haki, Kinga na Madaraka

Acha porojo, kwenda ni lazima. Mbona yeye kwa mamlaka yake akiwaita wenzake kwenda polisi wanatii, yeye kwa nini asitii mamlaka nyingine? Mungu atamlinda tu yeye aende. Kazi yake ni njema asihofu
Lete logic mkuu, kwanini akaojiwe Dodoma kwani Bunge siku hizi ni mahakama, kama wangeona Mkuu wa Mkoa Bwana Paul Makonda anashida wangeomba kibali kwa IGP ili nae aojiwe lakini uwezi kwenda kumuhoji mtu ambaye amekutuhumu.
 
George_Saitoti_2244321b.jpg

Mh.Makonda hakuna kwenda Dodoma,kwenye vita hakuna cha Muhimili,this is WAR Damn
 
Huyu ndio papa nn... maana madili makubwa huwa hakosekani?
KUKOSA UADILIFU KWA WATANZANIA NDIKO KULIKO MRUDISHA BUNGENI MR VIJISENT NA KUPEWA CHEO ALICHONACHO BUNGENI. ASIYE MWADILIFU ANAWAHUKUMU WAADILIFU.
IWEJE UTUHUMU, UPELELEZE, UENDESHE KESI MPAKA UHUKUMU? WABUNGE HAO HAO WANAOMTUHUMU WATAMTENDEA HAKI?
ASIKILIZWE NA JOPO HURU LISILOWAHUSISHA WANAOMTUHUMU AMBAO NI WABUNGE.
 
Mr Retired: you got me wrong and for your information, though I am not a lawyer, I am a knowledgeable person.

In your posting, reading it between the lines, I may say you are a member of parliament.

My comments on what is now appearing a saga between the pariament and the government, because of what RC Makonda words, are not at all questioning the two issues you have raised above.

My observation is about the moral authority and moral responsibility of parliamentarians in exercising their constitutional mandate, especially Clause 100(2) of the Constitution.

In addition, there is no Clause in the Constitution that provides for exclusive power of the Legislature over the Government or Judicially.
Mwegeso, I am not a member of a parliament. I might say I am a reader in constitutional law! My concern was on the responsibility and duties of the parliament! Did the parliament error in summoning Makonda and his mate? That was my concern and hence my reply to your post!
 
Nchi ya wajinga ni ya wajinga tu. Wale wanyama hamna kumbukumbu? Sio nyie mliokuwa mkisema wabunge wanalala na kusinzia bungeni? Ati leo mnasapoti Makonda kufokewa kwa kuwaambia hilo lenye ukweli. Malofa na mapumbavu ya akili yaliyotajwa na Ben Mkapa yanajidhirisha. Wabunge wetu pia ni watu wa kushangaza sana maana mambo ya kipuuzi yanayowagusa huungana kulinda maslahi yao si ya taifa. Inashangaza pale wanapotukanana,makonde na fujo tele kwenye jambo la msingi lenye faida kwa wananchi wao.hili la kipuuzi wamelivalia njuga kuficha maovu yao. Tz ndani ya siasa utafafanya biashara yoyote haramu na atakayekugusa tayari utaingiza siasa ndani na wengine kama yule mnyama watafata tu
 
Wewe muongo sana Kama hukumbuki umejuaje kajibu vibaya!??
Kama alijibu vibaya na hata humu Jf ya wabunge kulala na kusinzia ndio ilikuwa issue yao kubwa. Kwa hiyo na wao walikuwa wanafanya makosa kuwaambia ukweli wanasinzia bungeni? Siasa Tz kichaka cha kuficha maovu.
 
Hawaungani kwa mambo ya maana na faida kwa Taifa hili zaidi ya mambo ya kipuuzi na faida za matumbo yao.! Wananchi wenye akili wanapima na kuona. Kuwa bunge now days ni kijiwe cha mipasho.
 
Hiyo Video ya Bungeni Mkulu akiitizama anajisikia kiroho kinadunda Pa.... kumbe wabunge si watu wa mchezo mchezo kwani ndio wawakirishi wa wananchi.... Peoples power ni hatari ukiwaudhi...Maana kama hivyo vijamaa vilitumwa naye sasa Bungeni kura zote za Ndiyooo zimemkomesha lazima apetwe na machungu maana hadi PM naye kuachuna kura ya kukataa vichalii visiitwe...
 
Bunge la hovyo kabisa.....Kwani wao sio wa kudharauliwa

Hovyo kabisa

Bunge ambalo halijawahi kutetea maslahi ya wananchi ni la nini?

Sheria kandamizi wamepitisha tu....wanataka waheshimike kwa lipi?
 
Mwegeso, I am not a member of a parliament. I might say I am a reader in constitutional law! My concern was on the responsibility and duties of the parliament! Did the parliament error in summoning Makonda and his mate? That was my concern and hence my reply to your post!

Retired: now you are talking! My concern is whether there is a constitutional provision for the Parliament to summon a member of the Executive to appear before it or its standing committee. If there is no such provision then, the Parliament is abusing its constitutional rights and powers. Refer to Clauses 63 (Authority of Parliament) and 100 (Powers and Privikedges of Parliament) of the Constitution of the Republic of the United Republic of Tanzania (CAP. 2).

Of late the Parliamentarians have gone beyond their constitutional powers and rights by exercising powers not vested to them e.g. the RICHMOND saga whereby they acted as the Executive (conducting an enquiry/investigation) and the Judiciary (dispensation of justice).
 
Back
Top Bottom