Kaaaazi kwelikweli sasa nzi,mbung'o na sisi mizi wanasomwa ili iweje labda???? kuuliza si ujinga....
i thnk hata kama ukiwasoma ni kuwa classify 2 so mpango mzma hakimbii m2 hapo
Umeshasahau kama wanyama wana magonjwa yao?Je,unaweza kutibu ugonjwa bila kujua chanzo chake?Jiulize hayo maswali utapata jibu!
kama kuna mechanism hapo wamenishika...