Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
nimetoa moja...
umeona nakusikiliza eeh.
Haya Boflo nashukuru
nimetoa moja...
umeona nakusikiliza eeh.
Sina wala sitaki.
Njoo uniambie na mimi ntakwambia mpaka alichoniambia jana.
Okay sounds good ...
Ukianza zile sio leo bana labda kesho ..
Utakiona cha mtema kuni ...
Haraka haraka basi. . .
Tazama ramani,utaona nchi nzuri,
Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka,
Nasema kwa kichwa halafu kwa kufikiri,
Nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzania.............
Tayari na ujumbe nimeshatuma ..
Unaiaibisha JF kivipi?Nyani Ngabu kaniomba niitoe, inaiaibisha Jf..
au niirudishe???
labda kwa sababu yule kavaa flana imeandikwa Jf
Wapi? Sijaona kitu aisee. . . .
Mmmhhhhh that's funny kila kitu ninachotuma kinakuja ... jaribu we kunitumia.
Sina shida kabisa na homosexual .... at least wanajitambua ...
Nyie warembo mnayo haki ya kusema I dont care as long as wanajitambua na mko busy na mambo yenu........Itanichefulia wapi wakati niko busy na mambo yangu binafsi? Hata muda wa kukaa na kufikiria bila kukumbushwa kama hivi sina.
Seriously acheni kushindilia watoto "wenu'Nyie warembo mnayo haki ya kusema I dont care as long as wanajitambua na mko busy na mambo yenu........
Lakini pale toto lako la kiume litakapo kuletea "mume" wake badala ya mke..................you cant stand it, inauma
Omba Mungu na uwalee watoto wako katika maadili waepuke hii laana