DMV Kimenuka ni wazi uchaguzi ulichakachuliwa

Matola
Umempanda chati siku hizi badala ya kuongelea majimatitu leo unaongelea DMV!
Hahahah 'Matola Majimatitu' umeona hata haya majina yanaendana lakini 'Matola DMV'! Nooo
 
Last edited by a moderator:
Watz inaonyesha hata waishi wapi bado uchakachuaji hautowatoka manake inaonyesha upo kwenye damu,lakini hata hivyo si wote,ukichunguza sana hapo unaweza gundua kuwa wote waliofanya uchakachuaji huo wana nasabana ukoo wa mapanya aka ccm.
 
hahaha!,kuna huyo mmoja mwenye shati la damu ya mzee kaweka mikono nyuma ktk hali ya kukata tamaa kabisaaa.
halafu yule chekbob mwenye mwenye tshirt lenye mistari ya blu na meusi,tembea yake ya kujichokea.

ila yote tisa,huyo "dayasipora" mwenye "naiki eya" ni shedaaaaa.yaani ni mmatumbi pyuaaaa.lmao


Hahahahaa eti LMAO!
 
tatizo ninyi ni wavivu wa kufikiri.. mbona alishaeleza ... bado watu wanakuja wanauliza bila kusoma previous posts! nani anataka kujibu maswali mara kumikumi..?

wengine wanauliza ili kukejeli tu...? up.umbavu huo hata mi sivumilii aisee

Kuna watu humu wanasumbuliwa na stress za maisha inabidi uwazoee tu.

Mimi binafsi nikiingia kwenye thread yoyote ni lazima nisome thread kwanza halafu nasoma comment zote kuanzia comment ya kwanza mpaka ya mwisho ndio na mimi najuwa sasa nicomment nini.
 
Matola
Kikao cha jumuiya kiliendelea; hawa wahuni waliokuwa wanaleta mtafuruku wote walikimbia baada ya vyombo vya dola kuitwa; sasa kama wao walikuwa na haki kiliwakimbiza kitu gani? polisi wa Montgomery county ni kiboko wakikutia mkononi kitu cha kwanza ni papers za uhamiaji kabla ya kuhoji kosa jamaa walikimbia hakuna anaiyetaka kuiona Majimatitu! Yaani hawa ni wehu tu na vichaa ndio wanaoitia aibu diaspora hata usione fulana za nike kichwani hamna kitu hao jamaa shule inawasumbua upeo wao kufikiria ni mdogo sana; hao wapuuzi walipewa nafasi ya kuuliza maswali wakati kikao na raisi yaani walichouliza hata wewe kamanda wa majimatitu ungesema la maana; yaani ni pumba unaweza ukakuta serikali haitaki na uraia pacha kwa kuogopa kurudisha mataahira Tanzania. Hao wahuni ni mzigo kwa jumuiya yetu
 
usipende kuomba msamaha kwa mtu chizi kama huyu..anaandika tu DMV kimenuka,then what? anahisi kama DMV is something very vital kila Mtanzania anajua..upuuzi mtupu,watu wenyewe anazungumzia 28 ambao hawajai hata kwenye canter,anatutajia majina tu utadhani wanaoingia JF ni DMV pekee yao

Asante mkuu kwa kuweka mambo sawa, watu wengine bhanaaa
 
Halafu ndio mnataka uraia pacha! Mkafie mbali huko; mtuachie nchi yetu salama.

Kwani haya hayatokei Tanzania pia?

Matokeo ya uchaguzi hawajawahi kuchakachuliwa?

Na hivi sasa mahudhurio ya Bunge la Katiba kwani yakoje?

Kazi kupayuka tuu ovyo wakati kila siku asubuhi ukitoka huwa unaruka kinyesi kwenye mlango wako halafu unawasemea wengine wenye vinyesi milangoni.

Mnafiki tuu wewe.
 
Uchaguzi wao ulikuwa full zengwe, na kuna kada wa chama na naibu waziri walienda huko "kuongeza nguvu" ili wagombea wao wapite, na wakafanikiwa. Then what did they expect if not walk out?
 
Mahudhurio mkutano mkuu wa jumuia dmv yakatisha tamaa
Polisi waitwa kutuliza hali ya hewa
Nje ya wanachama hai 586, ni wanachama 28 tu wahudhuria
Solomon cris auliza swali kuhoji uhalali wa mkutano mkuu kwa kukosa 2/3.
Mkutano%2Bmkuu.jpg

Wanachama 28 walio hudhuria mkutano nje ya wanachama hai 586, na ni nje ya 430 walio piga kura

Mkutano%2Bmkuu1.jpg

Hamza Mwamoyo Menyekiti wa Boar akihoja uhalali wa uchaguzi kwa kutokutolewa report ya fedha
Mkutano%2Bmkuu2.jpg

Hapa ni baada ya Solomn Cris kuuliza maswali yaliyo kosa majibu na uongozi wa jumuia kuanza kumshambulia
Mkutano%2Bmkuu3.jpg

Solomon na Dotto wakisema mkutano huu mkuu ni batili kwa kukosa 2/3 ya wanachama hai 586
Mkutano%2Bmkuu%2Bpolis.jpg

Solomn Cris na Dotto wakiwa na Polis ambapo mwisho wa maongezi waliombwa kuondoka ili kuzuia shari
Mkutano%2Bmkuu4.jpg


Mkutano%2Bmkuu5.jpg

Wengi bado wanaupinga uongozi wa Jumuia ya DMV kwa kukosa uhalali
Mkutano%2Bmkuu6.jpg

Hapa ni baadaya ya watu wengi kutawanyika
Mkutano%2Bmkuu7.jpg


Mkutano%2Bmkuu8.jpg

Bado hakieleweki; watu wametoka nje




Hivi hamna aibu?? Wanachama mnaowahesabu mia tano na kitu wote walilipa$25 June na July. $15 Registration fees and ada ya mwezi mmoja ni $10 so according to our katiba THEY ARE NOT MEMBERS ANYMORE THIS IS SEPTEMBER. Inaelekea hata katiba hamuijui kama nyie mlivyoingia mwezi wa June kuwa wanachama na kuchukua fomu kutaka kutuongoza hata mtoto lazima ulee mimba kwanza then akizaliwa unakuwa mzazi. Same applies here. ATC METRO AS OF TODAY INA WANACHAMA HAI WALE WALE MLIOWAKUTA MWEZI JUNE PLUS FEW WHO PAID THEIR YEARLY DUES! Na majina yalichukuliwa waliokuwepo so THESE ARE THE TRUE MEMBERS BEFORE YOU ALL JOINED NA HAWAKULIPA VICHANGE VYA $25 KAMA BAADHI YA WALIOSHIKA HAYA MABANGO Na ndiyo maana katiba lazima ibadilishwe you have to be active member for certain period mimi ningependekeza miaka miwili kabla hujazungumzia kuwa kiongozi na mwaka mmoja kabla hujazungumza kupiga kura. We need to know you better, NOW WE KNOW YOU BETTER,, THANK GOD MY VOTE TO YOU DID NOT MAKE ANY OF YOU WINNERS NINGEJUTA, LOL!!! Kwa miaka 2 I would have to deal with MIREJESHO NA JAMII FORUM POSTS... Si bora kuwa na watu 28 kuliko nyinyi mliokuwa watano. Kama hao wanachama mia tano wanawasuport mbona hawakuja?? Mpaka campaign manager, makamu wake na "STRATEGIST Wako wamekukimbia. Dont you think its time to join the real team ya wastaarabu and build our community? Habari ya ukweli hii hapa chini. I WAS THERE!!!

VIJIMAMBO: FUJO ZILIZOLETWA KWENYE MKUTANO MKUU DMV
 
Mahudhurio mkutano mkuu wa jumuia dmv yakatisha tamaa
Polisi waitwa kutuliza hali ya hewa
Nje ya wanachama hai 586, ni wanachama 28 tu wahudhuria
Solomon cris auliza swali kuhoji uhalali wa mkutano mkuu kwa kukosa 2/3.
Mkutano%2Bmkuu.jpg

Wanachama 28 walio hudhuria mkutano nje ya wanachama hai 586, na ni nje ya 430 walio piga kura

Mkutano%2Bmkuu1.jpg

Hamza Mwamoyo Menyekiti wa Boar akihoja uhalali wa uchaguzi kwa kutokutolewa report ya fedha
Mkutano%2Bmkuu2.jpg

Hapa ni baada ya Solomn Cris kuuliza maswali yaliyo kosa majibu na uongozi wa jumuia kuanza kumshambulia
Mkutano%2Bmkuu3.jpg

Solomon na Dotto wakisema mkutano huu mkuu ni batili kwa kukosa 2/3 ya wanachama hai 586
Mkutano%2Bmkuu%2Bpolis.jpg

Solomn Cris na Dotto wakiwa na Polis ambapo mwisho wa maongezi waliombwa kuondoka ili
kuzuia shari

Mkutano%2Bmkuu4.jpg


Mkutano%2Bmkuu5.jpg

Wengi bado wanaupinga uongozi wa Jumuia ya DMV kwa kukosa uhalali
Mkutano%2Bmkuu6.jpg

Hapa ni baadaya ya watu wengi kutawanyika
Mkutano%2Bmkuu7.jpg


Mkutano%2Bmkuu8.jpg

Bado hakieleweki; watu wametoka nje


Hiyo MDV ndiyo nini?
 
Hawa hawa walitangaza dunia nzima kuwa hawatambui uongozi wa jumuiya hii. Kumbe wanawatambua na wameitikia wito wa mkutano?? Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Jamani nimekumbuka kicheko cha mahoka......Seriously maana ukitoa tamko please stick to it, huwatambua lala nyumbani acha wale wanaowatambua wawasikilize na on top o that mnawauliza maswali OMG!!! SO YOU RECOGNIZE THEM!!! MSAADA TUTANI WAJAMENI IM REALLY CONFUSED......
:crazy:
 
Hawa hawa walitangaza dunia nzima kuwa hawatambui uongozi wa jumuiya hii. Kumbe wanawatambua na wameitikia wito wa mkutano?? Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Jamani nimekumbuka kicheko cha mahoka......Seriously maana ukitoa tamko please stick to it, huwatambua lala nyumbani acha wale wanaowatambua wawasikilize na on top o that mnawauliza maswali OMG!!! SO YOU RECOGNIZE THEM!!! MSAADA TUTANI WAJAMENI IM REALLY CONFUSED......
:crazy:

Haya ndio mazuzu ya Ccm yanayopenda kupiga picha na Rais.
 
Back
Top Bottom