Prodigal Son
JF-Expert Member
- Dec 9, 2009
- 1,067
- 703
Huyu alitandikwa risasi na shujaa Saidi Mwamwindi, toa na sababu zilizompeleka kutandikwa risasi, alikuwa fedhuli na alilewa madaraka.
Kwa nini kusema kweli inakuwa ngumu kwako?
naona unajitahidi kuonyesha upande wako wa pili,
kwa mawazo yako hawa wakoloni weusi wanaoitawala TZ na familia zao nao ni haki watandikwe risasi?. naona kama umesoma hukubahatika kuelimika