dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,956
- 9,482
Tumboni hakuna kitu anajua teuzi zinapatikana kwa kupiga yowe tumpuuze tu....Sikutarajia Slaa aongee tofauti na hivyo, eti wawekezaji walikuja awamu ya tano. Slaa anadhani kwakuwa aliwahi kuaminika hapo nyuma basi na sasa ataaminika.