Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,844
- 20,060
Nadhani wewe ndio unashindwa kuelewa mantiki... hizi jamii zilizoishi huku na walipotokea; uwepo wao haujalishi wanaitwa vipi au nani aliwaita vipi...Rudi tena ukasome ni nani alituletea jina la Africa ndipo uje ulinganishe na nilichoandika mimi
Pia kinachogombaniwa hapa sio Jina bali ufujujaji / kutokutunzwa kwa rasilimali fulani ambayo iliachwa na ancestors wa eneo fulani