Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,688
- 1,281
Leo wakati wa kipindi cha maswali bungeni nimemsikia spika akimuita Mrema kama Dkt. Augustine Lyatonga Mrema, nilidhani amekosea lakini wakati Aggrey Mwanri anajibu swali la Mrema nae alimuita hivyo hivyo-najiuliza amekuwa lini Dkt.? Mwenye kujua tafadhali nisaidie