Nitarudia kusema kwamba Tanzania hakuna mtu ambaye ni mkweli na mwenye kujali maslahi ya nchi mbele ya chama ama yake binafsi..
Nilitegemea watu kama Dr.Slaa na Dr. Salim kusimama ktk mchaguzi huu lakini baada ya kusikia siasa nyingi zikipita nilijua kwamba hatuna watu isipokuwa kila mmoja wao anatazama kwanza maslahi yake,familia na ya chama..Hatuna kina Mandela na ajabu ni kwamba wanachukia wakiitwa Wapinzani maana kwao kila kitu kipo sawa tu, wana practice demokrasia ya vyamna vingi.
Someone has to step up kama kweli WAPO wanasiasa wanao-fahamu/pinga mwelekeo wa Taifa letu..kugombea Ubunge kwa mihula 3 au 4 hakuwezi badilisha dira ya taifa linalo angamia..
Nitarudia kusema kwamba Tanzania hakuna mtu ambaye ni mkweli na mwenye kujali maslahi ya nchi mbele ya chama ama yake binafsi..
Nilitegemea watu kama Dr.Slaa na Dr. Salim kusimama ktk mchaguzi huu lakini baada ya kusikia siasa nyingi zikipita nilijua kwamba hatuna watu isipokuwa kila mmoja wao anatazama kwanza maslahi yake,familia na ya chama..Hatuna kina Mandela na ajabu ni kwamba wanachukia wakiitwa Wapinzani maana kwao kila kitu kipo sawa tu, wana practice demokrasia ya vyamna vingi.
Someone has to step up kama kweli WAPO wanasiasa wanao-fahamu/pinga mwelekeo wa Taifa letu..kugombea Ubunge kwa mihula 3 au 4 hakuwezi badilisha dira ya taifa linalo angamia..
Siku zote usiwe mwepesi kutafsiri maneno ya mtu ikiwa huelewi maana. Upumbavu ni pamoja nadhania mtu mwingine anafikiria nini ama alikuwa na maana gani.. kama hujui Uliza mkuu wangu sii dhambi wala haikufanyi wewe mjinga.Unafikiri kuwa Rais ndio kujali maslahi ya wananchi?au kuwa Mbunge ndio kutokujali hali za wananchi?