Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
Hoja ama swali langu linabase kwenye hii sera ya CHADEMA ya kuunga mkono serikali tatu, yaani ya Bara, Ya visiwani(Zanzibar) na ile ya Shirikisho (Umoja), sasa ikitokea Chadema wakachukua nchi na hii sera ikawa kwenye action,
1) Dk Slaa atakuwa raisi wa nchi ipi?,
2) na kwa nchi hizo mpya mbili zitakazo form kutaitajika tena uchaguzi wa viongozi wa hizo nchi?
3) na kama mathalani zanzibar CUF wakashinda, Bara CCM wakashinda, na raisi wa shirikisho Chadema wakashinda hiyo Nchi itatawalika wakati kila Chama kina Sera zake?
1) Dk Slaa atakuwa raisi wa nchi ipi?,
2) na kwa nchi hizo mpya mbili zitakazo form kutaitajika tena uchaguzi wa viongozi wa hizo nchi?
3) na kama mathalani zanzibar CUF wakashinda, Bara CCM wakashinda, na raisi wa shirikisho Chadema wakashinda hiyo Nchi itatawalika wakati kila Chama kina Sera zake?