Watanzania tatizo letu tunapenda kuonewa huruma, huyu mtu hajawahi kuwa mganga zaidi ya kutapeli watu kazi yake kubwa ilikuwa fundi uhashi aliiacha baada ya kugundua kuwa kuna pesa kuwa mganga na akawa anatumia watu kwa lugha yao wanawaita mavise, hapo amesema uongo mwingine ili kutengeneza pesa let's wait tuone mwisho wa movie hiyo itakuwaje maana hata wakati anaanza uganga niliwambia watu tusubiri tuone itakuwaje
Naona wengi hapa jf wanasherehekea bila kujiuliza kilichomfanya Manyaunyau kuacha ugang, ni kwa sababu ameuelewa ukristol au nimazuazua aliyo yaona kwa kipindi kile?
Sitoshangaa baadae akaukana na huo ukristo kwa sababu kaingia sio kwa kuujua, kujifunza bali kwa mauzauza aliyo yaona, mauzauza hayo yanaweza kuwa yamesababishwa na uchawi/uganga umemrudia, matatizo ya akili au utapeli aliouandaa ili kujichotea mapesa kwa wafuasi mbumbumbu wasio hoji, kwa sababu kwao ukihoji unaonekana unamapepo.
damu ya yesu ni uhai-walawi 11:15
wakamshinda kwa damu ya mwanakondoo yesu kristo- ufunuo 12:11
Hakuna jina lipitalo majina yote zaidi ya jina ka YESU ALIE HAI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.