hashim mwamba
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 1,018
- 1,099
Kwa nini gentamycineKuna PhD's zingine zimetua ndiko siko hakyanani!
Kwa nini gentamycineKuna PhD's zingine zimetua ndiko siko hakyanani!
Chanzo: Mwananchi
WALE WAUWAJI TUNA MDA HATA WA KUWAJADILI POLE KAMA N NDUGUZAKOKibiti roho za wasio na hatia zilipotea hatukusikia kauli yeyote ya huyo bi simba leo anazungumza unafiki!
Soon just be preparedYaani huyu mtu anadhani anavyoongoza familia yake ya kina mama Jesca ndivyo hivyo hivyo anaweza kuongoza Taifa zima la TZ!
Mara nyingi wauaji hujifaya ndio wa kwanza kuchangia.Kachangia shilingi ngapi kama rambirambi au kaishia kuchangia kauli nzito?
Kibiti walikuwa waislam,lakini sasa ameanza kufahamu kuwa hakuna mwislam wala mkristo katika hili,balaa likianguka linaanguka kwa watanzania woteKibiti roho za wasio na hatia zilipotea hatukusikia kauli yeyote ya huyo bi simba leo anazungumza unafiki!
Hahahaa rambirambi kijijini kwa tweeter.Mtu wa kushangaza sana huyu. Unatuma ranbi ranbi kwa wazazi kupitia tweet!!! Si ajabu wazazi wa Aquilina hawajui hata tweet ni kitu gani. Kama si chuki zake za kutisha, UdU, na roho mbaya Aqulina asingepoteza maisha yake ile Ijumaa.
Hata LHRC ilianza na kutweet ...huyu mama aache hadaa na anatakiwa awaachie vijana ukurugenzi wa hiyo taasisi ...asiwe dikteta
Facts ndio zinatutofautisha mimi na weweNaona ubongo wako umejaa damu kama huyo unayemtetea... [HASHTAG]#Wapumbavu[/HASHTAG]
Ya maganda ya korosho?R.I.P AKWILINA.. MTOTO MZURI KAMA YULE UNAMUUAJE KWA RISAS. HUU NI UJINGA WA KIWANGO CHA PHD FEKI
mnataka aachie madaraka ili muweke kibarakaa wenu sio. mmenoa. ukiona kiongozi wa taasisi yeyote analalamikiwa na ccm jua huyo hakubalianii na maujinga yaoHata LHRC ilianza na kutweet ...huyu mama aache hadaa na anatakiwa awaachie vijana ukurugenzi wa hiyo taasisi ...asiwe dikteta
Sidhani kama jeshi litamchokaJeshi litakapomchoka ndio ukombozi wa kweli utakapotokea
Facts ndio zinatutofautisha mimi na wewe
Hivi unajua matukio ya kibiti yalikuwaje......siku ukijua wahusika naamini utahama nchi. Chukulia leo unagundua mkeo huwa anatoka usku na kukuacha chumbani na kukusaliti sebuleni....utafanya nini...Kibiti roho za wasio na hatia zilipotea hatukusikia kauli yeyote ya huyo bi simba leo anazungumza unafiki!
Kibiti haipo DarKibiti roho za wasio na hatia zilipotea hatukusikia kauli yeyote ya huyo bi simba leo anazungumza unafiki!