Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,332
- 10,946
Sisi CHADEMA tuko busy na wananchi na si kipindi cha magamba kutushambulia. Mtangazaji jana alionesha upendeleo kwa kumrudia mara nyingi waziri wa misitu.
huku kwetu anaitwa mfalme wa ngedere
Sisi CHADEMA tuko busy na wananchi na si kipindi cha magamba kutushambulia. Mtangazaji jana alionesha upendeleo kwa kumrudia mara nyingi waziri wa misitu.
Ni kweli mkuu sijawahi sikia/ona kiongozi yoyote toka chama cha siasa cha upinzani, hata huyo mtangazaji hana maswali ama hoja zenye mashiko ama ukomavu kulingana na taaluma yake.
Hicho kipindi ni cha kipuuzi kabisa, dunia ya sasa unaweka kipindi recorded? maana utakuta juma pili anaanza kurusha dondo kwa yaliyongelewa. maana yake watakuwa waneongea Alhamis au ijumaa, wakafanya editing kwa siku 2-3 ndio wanarusha jumatatu! sasa hapo unasikiliza nini hapo?
Mbona hata mh sharif hamad katibu mkuu wa cuf, ameshawahi kushiriki.