Sikafunje
Member
- Feb 22, 2009
- 38
- 6
Kuna taarifa nimezipata kuwa kuna diwani mmoja amehukumiwa kwenda jela miezi mitatu kwa kosa la jinai lakini baadhi ya viongozi wa CCM wamemsaidia yeye kutumikia kifungo cha nje pamoja na wenzake aliofungwa nao, nasikia anaendelea kushikiria nafasi yake ya udiwani na kuhudhuria vikao kama kawaida akivuta na posho, je, ni halali? wanasheria hebu tujuzeeni. Huyu ni diwani wa Kata ya Ngonga huko Kyela Mbeya anaitwa Kileo walivyosema wananchi wa huko.