Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 3,974
- 5,767
Pole yake. Hata kiapo hajaambulia
Kwahiyo akikataa demotion ndo anabaki na nafasi ile ile?Diwani itakuwa kakataa demotion
Jamaa atakuwa kakataa. Hata mimi nisingekubali huo ujinga.Pole yake. Hata kiapo hajaambulia
Appointments za hawa jamaa wakishaondoka au kuondolewa kwenye wadhifa, inakuwa very sensitive.View attachment 2469861
Kawaida wakurugenzi hawa wakishaondolewa katika nafasi zao, huwa wanapelekwa ubalozini huko Canada, Brazili, wakapumzike.
I said.
Huyo ni jasusi haina kusitaafuNi TAARIFA za kweli Diwani Athumani aliyeteuliwa KUWA katibu mkuu Ikulu ametenguliwa na hajapangiwa nafasi NYINGINE anarudi kwao kulima.
Moderator usifute Uzi HUU we confirm korido za Ikulu tu.
hawa washikaji sio wa kufanya nao bifu,wana mbinu nyingi na ndio walinziDiwani Athman atenguliwa ikulu.View attachment 2469855
Huko ubalozini unazani ana ripoti mbinguni??View attachment 2469861
Kawaida wakurugenzi hawa wakishaondolewa katika nafasi zao, huwa wanapelekwa ubalozini huko Canada, Brazili ili kutoa nafasi kwa ajaye kufanya kazi kwa umakini. Imagine Diwani aanze kuripoti kwa huyu mpya, lazima kutakuwa na hali fulani hivi.
Halafu huwezi kujua ameichukuliaje issue ya kuondolewa halafu unamuweka jikoni kwako panapopikwa chakula
I said.
Si rahisi kihivyo, wengi wao huwa wanakuwa na compromat zao kwa mfumo wa dead hand.Appointments za hawa jamma wakishaondoka au kuondolewa kwenye wadhifa, inakuwa very sensitive.
Wanaweza hata kupotea!