Diwani kupitia CHADEMA (Morogoro) amechomwa na kisu na mpenzi wake ambaye pia ni kiongozi wa CHADEMA Diwani kalazwa hospitalini na Mshikji wake kakimbia !!
My take:
Hii inaashiria nini ?
SOURCE magazeti ya leo
huku kudaiana kwa wapenzi ni balaa ivi