mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,631
- 8,417
I think hawa watu wamejikita sana kwenye Business, sio mbaya its just specialization; Most of them have been raised as enterpreneurs, as you know ukilelewa kwenye familia ya kimichezo there is a big chance na wewe utakuwa a sports person e.g matumla family, njohole family to name just a few....
Kwahiyo probably biashara itakapoanza kuwa ngumu as of now other people Tanzanians of African ancestry wameanza kuingilia hii issue probably nao itabidi waingie pengine kutafuta ajira, Just like in America ilivyokuwa kwa Black americans kwenye sports, Lakini sasa sababu ya kipato kuwa kikubwa huko even white americans wanataka kuingia kwa wingi
kama Moshi