Diversity in Tanzania: Where are the Asian, Arab, European-Tanzanians?

Huu mjadala unanikumbusha siku moja pale Airport (Dar) mzungu alitoa paspoti ya Tanzania jamaa wa immigration walikusanyika kutoka vidirisha tofauti tofauti kushuhudia hilo. Kilichowashangaza zaidi the guy was fluent in kiswahili pengine kuliko hata some of those officials.

Anywayz kilichonishtua ni namna hiyo issue ilivyokuwa handled yaani ilikuwa ni unyanyapaa kwa kwenda mbele. A poor guy was in some way treated as a criminal. Zee limoja pale tena kwa sauti likatamka "hii kali yaani huko Arusha kuna wazungu watanzania tumewapa mpaka paspoti?" Ni mpaka pale yule jamaa alipokuwa mkali na kutishia kuwashtaki mambo yakaendelea kama kawaida.
 
Huu mjadala unanikumbusha siku moja pale Airport (Dar) mzungu alitoa paspoti ya Tanzania jamaa wa immigration walikusanyika kutoka vidirisha tofauti tofauti kushuhudia hilo. Kilichowashangaza zaidi the guy was fluent in kiswahili pengine kuliko hata some of those officials.

Anywayz kilichonishtua ni namna hiyo issue ilivyokuwa handled yaani ilikuwa ni unyanyapaa kwa kwenda mbele. A poor guy was in some way treated as a criminal. Zee limoja pale tena kwa sauti likatamka "hii kali yaani huko Arusha kuna wazungu watanzania tumewapa mpaka paspoti?" Ni mpaka pale yule jamaa alipokuwa mkali na kutishia kuwashtaki mambo yakaendelea kama kawaida.

upande mmoja naona sentiments hizo hapa; kwamba Utanzania unachanganywa na "weusi" na "uzawa" unachukuliwa ni "asiili ya Afrika".. sasa fikiria atokee Mhindi kutaka kugombea urais wa Tanzania ambaye babu zake na baba zake wamezaliwa hapa hapa Tanzania.. say for example.. Mohammed Dewji...
 
upande mmoja naona sentiments hizo hapa; kwamba Utanzania unachanganywa na "weusi" na "uzawa" unachukuliwa ni "asiili ya Afrika".. sasa fikiria atokee Mhindi kutaka kugombea urais wa Tanzania ambaye babu zake na baba zake wamezaliwa hapa hapa Tanzania.. say for example.. Mohammed Dewji...
Mohammed Dewji? Be careful, sometimes you may get what you wish for.
 
Well..we know they are here; we work with them, we work for them, we go to school with them and we have served the national service with them. We have had them in the TPDF as well as in the Police Force (I remember some Singh and Khan). From the very beginning of our Republic Tanzanians of Asian, Arab and European ancestry have served well and some with distinction such as the late Maj. Gen. John Walden (Commander Black Mamba).

As I look at the make up of our nation's top leadership I'm beginning to worry and wonder what is happening. Have we failed in our experiment with diversity and inclusion of people of different races who claim Tanzanian citizenship? Have we failed in recruiting all Tanzanians in our public service? How can we fight international criminal gangs or organized crime for example without the help of all Tanzanians? Without the help of Tanzanians of all races how can we create strong national intelligence service? I don't know if we have Tanzanians of different races in our embassies abroad serving in different capacities.

Have we now created a de facto one race public service or nation where only black people serve in public service? Is this good for the nation? How can we restore a sense of pride and true unity by including all colors of our nations make up? Or the only other venue for Tanzanians of non-african ancestry to serve is in the politics arena and nowhere else?

Why there is no: Tanzanian of non-african ancestry in

a. In the Court of Appeal
b. In the High Court
c. In TPDF High Command (National and Regional)
d. In Police and Prison Service High Command (National and Regional)
e. In Intelligence Service (none hold any directorial position, I know of no one serving at the HQ)
e. In Regional Commissioners
f. In DCs
.. etc

And even more amazing..

Why we don't see them in the Cabinet or as Deputies? Are there any magistrates in Tanzanian who are of non-African ancestry? What about in our Foreign Service, how many works at the Ministry of Foreign Affairs or any other Ministry's HQ?in our is the number somewhat representative of the the group in our population?

What are we doing wrong? I mean African-Americans make only about 12 percent of US's population but they are almost everywhere in the public service, why in a nation which only 40 or so years ago some of its political elite cried "segregation now, segregation forever" now stands in the world as a symbol of diversity promoted and welcomed. Do our political leadership have a role to play to recruit minorities in Tanzanian into the public service? Do we need to learn how to do this from countries that have made major strides in this area? I mean.. even the former Governor General of Canada is a black woman (originally from Haiti).

How can we include our racial minority in our public service? Will it shock some Tanzanians to hear that so and so has been appointed a High Court Judge or head of certain government institution? Especially if her/his name is a Smith or a Patel? I'm longing to see that happen, we have to restore what Tanzania is all about.. we got lost somewhere, we sure did.


Enzi ya JKT wengi waliingia mitini baada ya High School na hivyo kupoteza uwezo wa kuajiriwa na serikali.
leo hii ukiweka kigezo kwamba wale wote waliomicha JKT ni marufuku kufanya kazi serikali utashangaa jinsi kutakavyo bakia kweupe. Oh nimesahau wote watafoji vyeti vya JKT na force number zake.
Wanafoji PhD watashindwa cheti cha JKT??
 
Hapa swala kubwa ni kuwa hawataki kuwa chini ya bosi mweusi as that would be the case in most areas, hivyo wanaamua wakabe secta ambayo wao ni mabosi na kuhakikisha wanafanya kila wawezalo kuwa juu.

Hapo waafrica watafanya! Chuki na ubaguzi hasa pale wanapoona hawa jamaa ndo wanapata first class service kwa wingi na wala hawajali ninikinawakuta watanzania wenzao (weusi).
 
Ni kweli wahindi hawataki kuwa chini ya bosi mweusi? Hao wengine waliofanya kazi chini ya mabosi weusi ilikuwaje? Kwani mabosi wa kina Shivji na kina Dewji wana rangi gani?
 
People are still missing a point.. kwanini hadi hivi sasa hakuna mteuliwa yeyote (yawezekana yupo sijajua) wa Rais tangu wakati wa Mkapa na sasa Kikwete ambaye ni racial minority aliyeshika a high profile position katika serikali? Kuna aliyewahi kuteuliwa na Rais au Waziri akakataa nafasi yake kwa sababu yeye ni Mhindi au Muarabu au kwa sababu ya kidini yake?

People cant think outside the box.. na "wengine hata hilo box hawajui wamo ndani yake"
 
upande mmoja naona sentiments hizo hapa; kwamba Utanzania unachanganywa na "weusi" na "uzawa" unachukuliwa ni "asiili ya Afrika".. sasa fikiria atokee Mhindi kutaka kugombea urais wa Tanzania ambaye babu zake na baba zake wamezaliwa hapa hapa Tanzania.. say for example.. Mohammed Dewji...

Atanyanyapaliwa huyo na usijeshangaa ikahalalishwa hata na state organs. Hebu fikiria kwa attitude aliyoionyesha waziri wa zamani masha! Ingekuwa vipi kama mpinzani wake Wenje angekuwa muhindi au mwarabu? Nadhani kampeni zingefuka Moshi.

Ni kweli kuna some genuine concerns zinakuwa raised na watu hapa lakini kuna kosa moja linalofanywa na wengi tena sometimes bila hata kujua. "KUHALALISHA UBAGUZI" The same way walivyokuwa wakifanya makaburu. Makaburu hawakuvunja sheria kuwabagua wabantu, wala sera za serikali hazikuwa na migongano na katiba kwani ubaguzi uliruhusiwa hata ndani ya kitabu hicho kikuu!!!!!!!!!! Sasa iweje dunia nzima ilikuja kuturn against nao???
 
I like that.. unajua watu wana ubaguzi fulani ambao wao wenyewe wanaamini wanaangalia vitu "objectively"..
Nakumbuka kipindi Richa Adhiya alivyoshinda U-Miss Tanzania - ubaguzi wa wazi ulijitokeza hata baadhi ya mamiss wa zamani kulia kama wamefiwa! Sipati picha itakuwaje pale Mhindi atakapoteuliwa kuwa Waziri wa serikali ya JMT enzi au zama hizi.Iliwezekana tu enzi za Mwalimu.
!
 
Lakini Nyambala hao wenye kuteua huwa hawaoni wanaowateua.. inawezekana vipi pamoja na michango yao mingi katika siasa hakuna hata Balozi au Mkuu wa mkoa?
 
Naomba soma vizuri jibu langu, hao uliowataja ni minority na niliosema mimi wanaochaguliwa kikatoliki ni majority.
 
Nakumbuka kipindi Richa Adhiya alivyoshinda U-Miss Tanzania - ubaguzi wa wazi ulijitokeza hata baadhi ya mamiss wa zamani kulia kama wamefiwa! Sipati picha itakuwaje pale Mhindi atakapoteuliwa kuwa Waziri wa serikali ya JMT enzi au zama hizi.Iliwezekana tu enzi za Mwalimu.
!


Lakini hilo ndilo linanishangaza... ina maana wazee waliotoka katika ukoloni were more tolerant zaidi ya hawa waliozaliwa katika Tanzania huru na iliyoungana? How is that possible?
 
Tanzania hakuna ubaguzi wa minority, hilo nakataa.

Kuweka hii mada ya kuongolea minority wa kiArabu, ki Hindi Ki Pakistan au wengine wowote kuwa wanabaguliwa, hilo sikubaliani nalo na nnadhani hii mada ni ya kubrain-wash na kutaka kupandikiza chuki kwa hawa minority wajione wana-baguliwa. Mzee mwana kijiji, wacha hizo zako, sisi wengine tumesha kushtukia. Ulipo lala wewe ndio tulipoamka sisi.

Unaleta mada kwa mbali, kama vile ni mtu mwema ambae unataka kusaidia, kumbe? unaanza kupandikiza mbegu za chuki ambayo haipo.

Kuwepo au kutowepo kwenye public sector kwa hao minority ni kupenda au kutokupenda kwao tu. Na public sector ni vast, naomba uelewe hata kuwa na kiwanda kwa manufaa ya jamii ni public sector.

Wahindi na wa Arabu wengi sana wapo Bungeni, mahakamani, serikalini, viwandani na kadhalika, na hakuna aliyebaguliwa, ni uwezo wake na kupenda kwake tu, ni nini anataka kufanya au wapi alipopata hiyo kazi.

Naomba uelewe kuwa Tanzania, toka enzi za Nyerere, kupata kazi katika mashirika ya Umma au Serikalini kulitegemea zaidi ukabila, hilo halina siri. Kwenye Mkuu Mhaya utakuta wahaya wamejaa, kwenye Mkuu Mchaga utakuta wa Chaga wamejaa, wanasaidiana wenyewe kwa wenyewe. Ubaguzi huo Tanzania upo mpaka leo.

Hali kadhalika kwa hawa minorities, itapotokea kuna mkuu wa Kihindi katika Idara fulani, basi utakuta waHindi wapo, hali kadhalika kwa wa Arabu.

Issue iliyopo haina mantiki, Mzee Mwana Kijiji unataka kupandikiza chuki ambazo hazipo. Hiyo ni Fitna na Unafik, naomba uwache.
 
Humu ndani kuna malalamiko kuhusu mfanyakazi wa kihindi katika moja za balozi zetu. Huyo mama sidhani kama ana nafasi ya maana lakini kuwepo kwake pale ubalozini kumemchefua mtu! Sasa je angekuwa balozi?

Amandla.........
 
Wahindi na wa Arabu wengi sana wapo Bungeni, mahakamani, serikalini, na hakuna aliyebaguliwa, ni uwezo wake na kupenda kwake tu, ni nini anataka kufanya au wapi alipopata hiyo kazi.
MHHH... Hii ni Tanzania au wapi mkuu?
Hebu nitajie majina mawili mawili kutoka kila idara/taasis ulizoainisha hapo juu ambapo unasema wamejaa!Nadhani mada hapa haizungumzii "kubaguliwa" bali ku diversify ili tuwe na mchanganyiko wa watu sehemu mbalimbali hasa kwenye huduma za umma.
 
Back
Top Bottom