Diplomatic Passports zote kwa wafanyakazi serikalini kurudishwa na marufuku kutumia VIP lounge

Yaani mh Rais amenifurahisha sana maanma kuna baadhi ya watu walidhani kuingia ikulu kwa JPM watapata neema kama walivyo zoea.HAPA KAZI TU
 
Magufuli anaendelea na kazi.

Kuna taarifa kuwa Serikali imeamua kulipitia upya zoezi la upatikanaji wa pass za kidiplomasia na agizo litatolewa kuwa wenye hizo passport na familia zao wazirudishe ili wapewe passports za kawaida. Serikali inasema mawaziri na wafanyakazi wa serikali na familia zao ambao hawapo tena serikalini nao lazima wazirejeshe hizo passport. Taarifa ni kuwa rais, makamo, waziri mkuu, pekee ndio watakuwa na hizo passpot za kidiplomasia na mabalozi wanaowakilisha nchi nje.

Pia kuna agizo kuwa hao pekee ndio watakuwa na ruhusa ya kutumia VIP Lounge pale JKIA. Hii ni kutaka kuondoa utabaka na out of touch ya wafanyakazi wa serikali kutumia vibaya mianya ya diplomatic passports na VIP

Taarifa zaidi zitatoka punde lakini hii kasi ya hapa kazi tuuu naona mimi ishaanza kunishinda.

hakika mafisi m wanaisoma namba
 
It is about time! A measure to restore respect and credibility of the Tanzania government. Time to use a Somali diplomatic passport for the Sindbads and frequent travellers of this country.... I don't give a rat's backside for it!
 
Isikushinde ndugu yangu.Nchi imeoza kiasi kwamba badala ya kutembea ni lazima akimbie.Vinginevyo hatufiki.Kumbuka tuko safarini kwenda kwenye nchi yenye neema.
Magufuli anaendelea na kazi.

Kuna taarifa kuwa Serikali imeamua kulipitia upya zoezi la upatikanaji wa pass za kidiplomasia na agizo litatolewa kuwa wenye hizo passport na familia zao wazirudishe ili wapewe passports za kawaida. Serikali inasema mawaziri na wafanyakazi wa serikali na familia zao ambao hawapo tena serikalini nao lazima wazirejeshe hizo passport. Taarifa ni kuwa rais, makamo, waziri mkuu, pekee ndio watakuwa na hizo passpot za kidiplomasia na mabalozi wanaowakilisha nchi nje.

Pia kuna agizo kuwa hao pekee ndio watakuwa na ruhusa ya kutumia VIP Lounge pale JKIA. Hii ni kutaka kuondoa utabaka na out of touch ya wafanyakazi wa serikali kutumia vibaya mianya ya diplomatic passports na VIP

Taarifa zaidi zitatoka punde lakini hii kasi ya hapa kazi tuuu naona mimi ishaanza kunishinda.
 
Kuna kamjamaa fulani ni kakurugenzi kasaidizi kwenye ofisi flani ya umma eti nako kana brown passport. Hizo mbwembwe balaa na ulevi mbwa wake. Hii nchi inatakiwa kurudi kwenye mstari sahihi.

huyo anawzuga tu mtaani kwenu. diplomatic passport ni nyeusi
 
Mleta uzi mimi una nipa maswali mengi kuliko majibu:
1. Je, marais na makamo wa rais ,wastaafu watatumia passport za kawaida..??
2. Je, Mawziri wakuu, mawaziri na manaibu mawaziri wastaafu nao watatumia passport za kawaida..?
3. Je, Makatibu na manaibu wa wizara nao watatumia Passport za kawaida..?
4.Je, Mkuu wa majeshi (CDF), IGP , mkuu wa TISS, na magenerali wa jeshi watatumia passport za kawaida..?
5. Spika na jaji mkuu nao watatumia passport za kawaida ..??


Hapo nimetaja wachache tu , maana hapo kuna wengi tu sijawataja.
mie nadhani hilo bandiko lako halijakaa sawa.

FYI:
attachment.php
attachment.php


Kwani ni marufuku kuamend hivyo vifungu?
 
Magufuli anaendelea na kazi.

Kuna taarifa kuwa Serikali imeamua kulipitia upya zoezi la upatikanaji wa pass za kidiplomasia na agizo litatolewa kuwa wenye hizo passport na familia zao wazirudishe ili wapewe passports za kawaida. Serikali inasema mawaziri na wafanyakazi wa serikali na familia zao ambao hawapo tena serikalini nao lazima wazirejeshe hizo passport. Taarifa ni kuwa rais, makamo, waziri mkuu, pekee ndio watakuwa na hizo passpot za kidiplomasia na mabalozi wanaowakilisha nchi nje.

Pia kuna agizo kuwa hao pekee ndio watakuwa na ruhusa ya kutumia VIP Lounge pale JKIA. Hii ni kutaka kuondoa utabaka na out of touch ya wafanyakazi wa serikali kutumia vibaya mianya ya diplomatic passports na VIP

Taarifa zaidi zitatoka punde lakini hii kasi ya hapa kazi tuuu naona mimi ishaanza kunishinda.

Kamanda umenichekeshaaa balaa. Kama ukiona kasi hiyo imeanza kukushinda achana nayo fanya mambo mengine tuu. Hahahh
 
Mkuu tushukuru tumempata Rais ambaye anajua mianya yote ya madudu ya nchi hii. Na alisema wakati wa kampeni kuwa atafunga makufuli mianya yote, watu walidhani masihara!!!

HAPA KAZI TU

... walipoimba " wataisoma namba" walidhani nani wa kuisoma hiyo namba
 
Source ni wewe.Mimi wazazi wangu hawajapata simu hiyo Wala barua hiyo .kwanza ukistaafu tu Kama una diplomatic passport unaikabidhi na kitambulisho unapewa vipya vya kawaida .Hii ni dunia. Nzima .Huyu magufuli atafanyaje watu WAACHE kazi serikalini .Kama wewe ni mtoto wa diplomasia ukifika miaka 18 wanaichukua passport yako unakuwa na yakawaida.

watu wanapenda kupamba tu. wizara ya mambo ya nje ilikwishaanza zoezi za kukusanya diplomatic passports kutoka kwa wasiohusika hata kabla mheshimiwa magufuli hajatinga ikulu. ukweli ni kwamba hizi passports zipo pia mikononi mwa watu wasiostahili mfano mawaziri wastaafu, mawaziri waliotemeshwa unga, wabunge waliopita ambao hawakuchaguliwa tena au wameamua kutogombea, makatibu wakuu wastaafu na waliotemeshwa unga na kadhalika.

wizara inakusanya hizo passport wakati wa kurenew. kama hustahili hupewi tena.

sasa hizi habari za sasa nadhani si kweli ila zinalengo tu la kupamba na kuhamasisha.
 
Mkuu tushukuru tumempata Rais ambaye anajua mianya yote ya madudu ya nchi hii. Na alisema wakati wa kampeni kuwa atafunga makufuli mianya yote, watu walidhani masihara!!!

HAPA KAZI TU

alishawaambia kua, ujanja wao naujua.
 
Wanatusumbua tu na matamko yao kila uchwao!!! Mwaka 2 unaishaa hakuna la maana ni visasi na tume weeee uchumi umedorola hakuna kituu
 
Back
Top Bottom