Dini na ukabila zisihusishwe na Taasisi ya Rais

mtoa mada umeanza vibaya mada yako kwa kusema hovyo kuwa mtu asie na akili hujadili suala la dini , wewe si muislam na hivyo huna uchungu wala hasara kwa waislam kunyimwa nafasi za elimu na ajira tangu tupate uhuru na ukweli tunamtakia Baba yetu yule apewe adhabu inayomstahili na Allah kwa kusimika mizizi ya mfumo kristo uliopotosha imani thabiti za mamilioni ya watu!

ndugu zangu wakristo wote nawaalika tafadhali someni hapa chini mjifunze kitu japo kimoja!!!

Mosi ikumbukwe mkristo akifa sisi waislam hatusemi alale mahali pema peponi bali kwakuwa amekufa akiwa kafiri tunasema alale mahali panapomstahili kama Mzee Ruksa aliposema kuhusu hayati Mwalimu , hatusemi ulale pema peponi kwakuwa tuna asilimia mia mbili tunajua maiti huyo kafiri anaenda kuuvaa moto wa milele na hatuna cha kufanya kumsaidia na unafki si jadi ya kiislam!!

sisi waislam wasomi wa bongo tuna hasira mno na mfumo kristo wa nchi hii na wakati wake ukifika itakuja kulipuka tu one day! ngoja tusomeshe kwanza watoto wetu!

kitabu chetu kitakatifu kinaonesha sehemu flani kuwa mara nyingi unapofanya mabaya duniani unapokufa Allah hukuanika mbele ya kadamnasi ndani ya sanduku kila mtu anapita na kuona ulivyokwisha na kubadilika rangi kuwa kahawia na kunyamaza kimya ndani ya Sanduku lako na hii ni tamaduni mbovu sana ya ndugu zetu wakristo kuanika maiti watu kupita na kukusimanga ndani ya sanduku wanasema nyoo kafiri mkubwa we si ulijifanya Mungu mtu ukatesa watu amka sasa kama unaweza! ziko stori za maiti kugeuza uso baada ya mtu flani aliemchukiza maiti kupita!! ndio maana muislam halisi ZZK alishinikiza sana Mama Mchungaji aliekufa aletwe bungeni nayeye amsimange wakati akipita kuaga kulipiza kosa la mama kupiga makofi eti ZZK auwawe ila akafa yeye!! mfano upo katika kitabu chetu kuna stori ya Farao aliemchukiza sana Mungu na kuachwa asioze kwa uwezo wake Baba kwakuwa wakati huo hakukuwa na dawa ya kukausha maiti kitabu kinasema alimkufuru Mungu kwa kujiita Mungu nae Allah akamhifadhi ili wanadamu wote wamuone mhalifu huyu karne kwa karne! ukienda Misri unamuona live!!

kwa mujibu wa kitabu chetu kile ukiwa kafiri kama makafiri waliojaa bongo huwezi kuwa na akili zote kila wakati dishi lazima huwa linayumba! fanya utafiti utaona jinsi madishi ya kikristo yanavyoyumba kila mara kama Bashite!!

ukweli waislam hawasemi chochote kuhusu ubaguzi uliopo kwenye elimu na ajira ili kulinda amani na mshikamano nchini ila waislam huona wakristo ni debe tupu linalovuma na huwaonea huruma sana kwa kuokotwa na wazungu ambao ukweli ni wapagani si wakristo!!!ukristo uko Vatican tu!!! ukibisha uliza wabongo walioko ulaya watakupa this fact!! mfano ukienda ujerumani wakimbizi wa kiislam wanaswali kiislam makanisani kwa wingi kwa kupokezana na wazee wachache wa kigalatia wanaosali, huko US waislam wananua makanisa na kugeuza misikiti makanisa hayana mwenyewe waislam wanauziwa majengo na manispaa! kule Norway makanisa ndio kumbi za harusi kitchen party na sherehe kikundi chochote kikiomba kanisa hata kupiga muziki inaruhusiwa makanisa hayana mwenyewe ye anaongea tu utumbo!! katuchefua sana waislam wa nchi hii!

ukweli ni kuwa waislam huwaona makafiri wote duniani wako katika ndoto wakidhani wanaishi duniani kumbe wako usingizini na hii ni kutokana na kitabu kitakatifu kutoka Arabia kujaa mantiki aya zote , kitabu kutoa elimu zote na kutaja mambo ya nyakati zote na hii ni kuthibitisha kuwa ni maneno ya Mungu sababu Mtume Muhammad SAW alikuwa mfanyabiashara na hakusoma shule hata darasa moja na aliishi jangwani asingekuwa na akili ya kusema kila kitu kwa mantiki bila kukosea na kuwaza mambo ya karne mia mbele na kujua sayansi zote za mimea, mashine, uumbaji na ukuaji wa mimba nk!

kwa mujibu wa vurugu kubwa ya kiakili ya kuelewa utatu mtakatifu usioeleweka, elimu hii ya kikafiri inayopingana na Logic sasa naeleza vizuri hapa chini na hapo utaona wakristo wote duniani hawana akili kabisa japo hawajijui tu!

yaani wewe ni mtu mzima unaambiwa Mungu ni mmoja ila unahesabu unaona wako watatu na wewe una madigirii kama yote unashindwa kufikiri na unakubali huo utumbo kweli? ona sasa hapa chini hesabu taratibu bila mhemko wala kutumia imani uko nayo weka pembeni kwanza hesabu sasa Mungu wako wangapi!!

1.Mungu baba yuko mbinguni na kazi zake za uumbaji
2. Mungu roho mtakatifu ni nani huyu ni malaika Gabriel au ni ile sauti iliyoko ndani ya mwanadamu imwambiayo cha kusema na kutenda muda wote?
3.Mungu mwana (Yesu) huyu ni binadamu kama mimi nawewe japo hakuzaliwa na baba na ni fundi seremala na yuko ardhini anahubiri injili ambako wanadamu aliowaumba (kumbuka yeye ni Mungu) wanamzidi nguvu wanamuua na kusababisha hapo hapo kutokea giza kwa Mungu kufa na dunia kuanza kujiendesha yenyewe kuanzia wakati huo sababu Yesu ni sehemu ya Mungu wale watatu sasa kuuwawa kwake msalabani kunasababisha na wale Miungu wengine wawili Mungu Baba na Mungu roho mtakatifu nao kufa maana na wao ni sehemu ya yeye (Yesu)! Wakristo wengine husema Mungu (Yesu) ni mmoja tu na ndo huyo huyo alishuka duniani na kule juu mbinguni kukawa empty kwa dhana hiyo ina maana Mungu (Yesu) aliposulubiwa msalabani na kuuwawa na mayahudi aliowaumba Dunia ilibaki bila Mamlaka ya Mungu??? this christianity is built in rubbish illogical thinking and dirty information!!

ama kweli akili ya wakristo iko kwenye mfuko wa sharti akivua shati akitundika analala free kama mtoto! yani tujiulize binadamu mayahudi wana nguvu ya kuua Mungu aliewaumba? (Yesu)?! akili au matope!! mfano eti kuku amuue kwa kumpiga binadamu anaemfuga!!!

kitabu kile kueleza yesu kufa mara mbili ( kufa msalabani na kupaa na baadae atarudi duniani na kufa tena) , we uliona wapi mtu alikufa akafufuka? kama ingekuwa kufufuka ni rahisi tungewafufua wapendwa wetu wote waliotangulia mbele za haki!! kifo ni mara moja tu na hakuna kufufuka kiboya boya! mantiki ya kiislam ni kuwa Yesu hakufa msalabani bali alipazwa juu ili binadamu wasiweze kumsulubu na asiwe ni mwenye kulaaniwa kwa mujibu wa mila za kiyahudi na biblia amelaaniwa kila aangikwae juu ya mti sasa iweje Mungu Mwana aangikwe juu ya mti auwawe kwa kupigwa misumari na wanadamu aliowaumba na alaaniwe hii ni akili au matope!! pale Giza lilitokea kwa masaa matatu ambako Yesu alipaa ni mzima na atarudi kuwakana wote waliomzushia kufa msalabani na atakufa sasa kiukweli si kifaulongo!!

mkristo yoyote atakaeona tabu katika kukubali dhana hii japo kidogo ajue ameokolewa wokovu umefika nyumbani mwake na asilimu haraka nami naamini kwa jinsi nilivyoeleza utatu mtakatifu vizuri mje tutawapokea inshaallah!

Makadinali wote wa dunia pamoja na maaskofu kaeni kikao kisha njooni hapa mnijibu mnieleze hoja zenye mantiki kwanini Mungu ni mmoja ana roho tatu na roho moja ikifa msalabani roho zingine mbili zibaki hai!

Ukiona kobe yuko juu ya mnazi ujue kapandishwa tu! wakristo mnapandishana juu kwa kutumia mfumo na hamtaki kusikia mada za udini kwa sababu ni mwiba kwenu!! nasi tukipata nafasi japo ndogo kama hizi tunakumbusha mmepotea huko njooni kwenye njia ya kweli na uzima wa milele kupitia mtume wetu Muhammad SAW
Una uwezo mdogo sana wa kufikiri kiongozi

Shusha presha na pumzi unapojadili mambo,Punguza hasira na povu ,Jenga hoja

Hapa hatujadili mambo ya kiroho ambayo hayaonekani,Imani ni mambo yasionekana hivyo hatuyajadili hapa

Usigeuza hii mada vita ya mapambano kati ya ukristu na uislam

Kuna dini zipo kabla ya ukristu na uislam

Dini na Imani za kibudha na kihindu zipo kabla ya uislam wako

Dini yako inakujaza hasira na chuki sana basi nena allepo au Syria ukajitoe muhanga

NB

Alieanzisha mada ya kuuwawa zito ni Abdallah Bulembo,Sasa Abdallah Bulembo unaeelewa maana ya Abdallah wewe
 
.

Hao maaskofu wa kufundisha wapumbavu wa Aina yako tuwatoe Wapi Tanzania hii ?
Kama unaona tz kuna udini hama nchi nenda hata Zanzibar hapo viongozi wote ni waislam usilalamike!!

tulia wewe dawa ikuingie vizuri usinizibe mdomo humu ni JF na udini wenu utaisha taratibu bila nyie kujua waislam tunazaa sana na kuoa wake watatu watatu ni miaka 20 ijayo tu tutawafunika population yenu times two na hamtaweza tena kutudhulumu haki zetu kila mahali tutakuwa tumejaa sie tu!!

halafu nikushauri bure usihangaike namimi hangaika na yale niliyocomment tu! elimu yangu nikigawa ukoo wako mzima kila mmoja anapata kipande kidogo cha mnofu jitahidi kuulewa utatu mtakatifu kwanza! huniwezi ndugu!
 
Una uwezo mdogo sana wa kufikiri kiongozi

Shusha presha na pumzi unapojadili mambo,Punguza hasira na povu ,Jenga hoja

Hapa hatujadili mambo ya kiroho ambayo hayaonekani,Imani ni mambo yasionekana hivyo hatuyajadili hapa

Usigeuza hii mada vita ya mapambano kati ya ukristu na uislam

Kuna dini zipo kabla ya ukristu na uislam

Dini na Imani za kibudha na kihindu zipo kabla ya uislam wako

Dini yako inakujaza hasira na chuki sana basi nena allepo au Syria ukajitoe muhanga

NB

Alieanzisha mada ya kuuwawa zito ni Abdallah Bulembo,Sasa Abdallah Bulembo unaeelewa maana ya Abdallah wewe
akili yako ndogo sana wewe yaani unaanzisha uzi wa kuhusu nafasi ya dini bongo halafu unataka tujadili siasa na kunde na choroko!! samahani siwezi kucomment yanayokupendeza hili ni jukwaa huru!! naupenda uislam na nachukia mfumo kristo kuendesha nchi yangu, yaani wewe unajiona mbongo zaidi kuliko sisi wote? unatoa mamlaka yako kutoka kwa nani?

nimeelezea ukristo kiufupi sana kwenye moyo wake ( utatu mtakatifu) ili kila mmojawetu ajue msingi wa utawala huu naye Allah atamuadhibu vikali alieusimika uovu huu
 
Wanabodi,Watu waliokosa maarifa ndio wanaojadili habari za dini kwenye Taifa hili la Tanzania

Msongo wa mawazo au stress zinazidi kuharibu vijana wengi,Hizi dini zina historia yake ,Wengi wamerithishwa dini toka kwa wazazi wao,Ukiuliza historia ya dini zao hawana maelezo ya kutosha,Wamejawa misimamo na itikadi za kibaguzi

Je, Wale wahindi na baadhi ya watu wa Asia Dar es salaam,Singida na Mtwara mbona wao hawalalamiki kukosa teuzi serikalini au watu wao kupewa nafasi serikali,Hawa wahindi na wa Asia ni watanzania halisi zaidi ya wengi wetu kwani wameshiriki kujenga Taifa hili miaka mingi sana

Je, Uwiano wa dini utatoka wapi wakati kila mtu ana uhuru wa kuchagua,Marekani Beyonce ana dini yake na kanisa lake,Je waumini wa Beyonce mwanamuziki miaka 100 ijayo nao watalazimisha teuzi hapa Marekani

Karne ya ishirini na moja kuna baadhi wamegeuka vituko kama sio vituko basi katuni,Hawa wenye mawazo ya udini na ukabila ni washamba na wapumbavu,Mtu safi kichwani unaoa au kupenda mtu wa dini au kabila lolote

Nikijibiwa haya maswali nitakuwa wa kwanza kuhubiri dini na ukabila Tanzania

Mosi,Kwanini waislamu washika dini sana wanajiunga na vikundi vya kigaidi mfano Alshabab,Alqaida na Isis ,Hii ndio nguzo kuu ya upendo ?

Pili ,Kwanini wakristo washika dini sana wanakuwa wabaguzi sana na kuwaita wenzao wa Mataifa,Hii ndio nguzo kuu ya upendo?

Je, Historia ya uislam watu wanafahamu na kufundishwa au kujisomea mfano kwanini watu wanavaa kanzu badala ya suti msikitini,kwanini watu wanazikwa kwa sanda badala ya sanduku

Je, Jangwani kulikuwa na miti ya kutosha ili kutengeneza masanduku,Hakukuwa na miti ya kutosha, hivyo waislamu wanafundishwa historia ya kuzika bila sanduku

Je, historia ya ukristo inafundishwa vyema,Hapo awali watu walisali makanisani? Sinagogi na kanisa la leo yanautofauti gani?

Haya madhehebu yanayopiga kelele sasa na maspika makubwa yanaelewa chimbuko lao ni kanisa katoliki?

Tuzisome historia za dini zetu hizi,Tukizijua vizuri hakika hatutajadili mambo ya dini au ukabila au kuhusisha Taasisi ya Rais na mambo ambayo watu hawajui historia yake

Historia za hizi dini ukizisoma vizuri unaweza ukaacha hata kwenda Msikitini au Makanisani,Jinsi uislamu ulivyoenezwa kwa mapanga na mashoka utacheka sana ,Ukristo ulivyowashughulikia wanasayansi waliosema dunia duara wao wakiamini Dunia ni kama meza

Ikija awamu ya Muislamu msulalamike na kuanza kutoa nyaraka za Kitume kila mwezi.
 
hata wakati wa Ben,Kikwete hizi kelele zilikuwepo.Rais akiwa muislam anaambiwa mdini,akiwa mkristo anaambiwa mdini.
Wafinyu wa fikra.
 
tulia wewe dawa ikuingie vizuri usinizibe mdomo humu ni JF na udini wenu utaisha taratibu bila nyie kujua waislam tunazaa sana na kuoa wake watatu watatu ni miaka 20 ijayo tu tutawafunika population yenu times two na hamtaweza tena kutudhulumu haki zetu kila mahali tutakuwa tumejaa sie tu!!

halafu nikushauri bure usihangaike namimi hangaika na yale niliyocomment tu! elimu yangu nikigawa ukoo wako mzima kila mmoja anapata kipande kidogo cha mnofu jitahidi kuulewa utatu mtakatifu kwanza! huniwezi ndugu!

.... Duh mkuu sijui wewe ni mtu wa Aina gani !! Kwani waislam mmeanza kuoa Leo hao wake watatu na kuzaa watoto wengi kama nguruwe . ? Lakini mbona kilio ni hicho hicho miaka nenda rudi, na labda nikwambie tu Tanzania haigawi vyeo kidini Bali kwa uwezo wa mtu kiutendaji na inapotokea kukawa na dalili za udini kwenye taasisi fulani ya kiserikali lazima hatua zichukuliwe.

Umekomalia huo utatu mtakatifu kitu ambacho ni opposite na hii maada.
 
Wanabodi,Watu waliokosa maarifa ndio wanaojadili habari za dini kwenye Taifa hili la Tanzania

Msongo wa mawazo au stress zinazidi kuharibu vijana wengi,Hizi dini zina historia yake ,Wengi wamerithishwa dini toka kwa wazazi wao,Ukiuliza historia ya dini zao hawana maelezo ya kutosha,Wamejawa misimamo na itikadi za kibaguzi

Je, Wale wahindi na baadhi ya watu wa Asia Dar es salaam,Singida na Mtwara mbona wao hawalalamiki kukosa teuzi serikalini au watu wao kupewa nafasi serikali,Hawa wahindi na wa Asia ni watanzania halisi zaidi ya wengi wetu kwani wameshiriki kujenga Taifa hili miaka mingi sana

Je, Uwiano wa dini utatoka wapi wakati kila mtu ana uhuru wa kuchagua,Marekani Beyonce ana dini yake na kanisa lake,Je waumini wa Beyonce mwanamuziki miaka 100 ijayo nao watalazimisha teuzi hapa Marekani

Karne ya ishirini na moja kuna baadhi wamegeuka vituko kama sio vituko basi katuni,Hawa wenye mawazo ya udini na ukabila ni washamba na wapumbavu,Mtu safi kichwani unaoa au kupenda mtu wa dini au kabila lolote

Nikijibiwa haya maswali nitakuwa wa kwanza kuhubiri dini na ukabila Tanzania

Mosi,Kwanini waislamu washika dini sana wanajiunga na vikundi vya kigaidi mfano Alshabab,Alqaida na Isis ,Hii ndio nguzo kuu ya upendo ?

Pili ,Kwanini wakristo washika dini sana wanakuwa wabaguzi sana na kuwaita wenzao wa Mataifa,Hii ndio nguzo kuu ya upendo?

Je, Historia ya uislam watu wanafahamu na kufundishwa au kujisomea mfano kwanini watu wanavaa kanzu badala ya suti msikitini,kwanini watu wanazikwa kwa sanda badala ya sanduku

Je, Jangwani kulikuwa na miti ya kutosha ili kutengeneza masanduku,Hakukuwa na miti ya kutosha, hivyo waislamu wanafundishwa historia ya kuzika bila sanduku

Je, historia ya ukristo inafundishwa vyema,Hapo awali watu walisali makanisani? Sinagogi na kanisa la leo yanautofauti gani?

Haya madhehebu yanayopiga kelele sasa na maspika makubwa yanaelewa chimbuko lao ni kanisa katoliki?

Tuzisome historia za dini zetu hizi,Tukizijua vizuri hakika hatutajadili mambo ya dini au ukabila au kuhusisha Taasisi ya Rais na mambo ambayo watu hawajui historia yake

Historia za hizi dini ukizisoma vizuri unaweza ukaacha hata kwenda Msikitini au Makanisani,Jinsi uislamu ulivyoenezwa kwa mapanga na mashoka utacheka sana ,Ukristo ulivyowashughulikia wanasayansi waliosema dunia duara wao wakiamini Dunia ni kama meza
Muslims waged Kaffir war while Christians waged Crusade
 
.... Duh mkuu sijui wewe ni mtu wa Aina gani !! Kwani waislam mmeanza kuoa Leo hao wake watatu na kuzaa watoto wengi kama nguruwe . ? Lakini mbona kilio ni hicho hicho miaka nenda rudi, na labda nikwambie tu Tanzania haigawi vyeo kidini Bali kwa uwezo wa mtu kiutendaji na inapotokea kukawa na dalili za udini kwenye taasisi fulani ya kiserikali lazima hatua zichukuliwe.

Umekomalia huo utatu mtakatifu kitu ambacho ni opposite na hii maada.
tayari nimepata fungu mbinguni kwa kuokoa wachache hata mmoja tu ataekataa hiyo dini yenu iliyojengwa katika kuta za tope za utatu mtakatifu my foot!

kila jambo na wakati wake huna taarifa wewe wazungu wanapambana dunia nzima kuzuia uislam kwani data zao zinaonesha mnamo mwaka 2070 Islam will be the biggest religion in the world!!mziki wake utaonekana wewe ukiwa mavumbini ndugu miaka mingi ijayo!

umetaja nguruwe ni haram na siwezi kusema zaidi! umenichefua mno!

Islam will be largest religion in the world by 2070, says report

Islam set to become the world’s largest religion as Muslim births increase

Why Muslims are the world’s fastest-growing religious group
 
akili yako ndogo sana wewe yaani unaanzisha uzi wa kuhusu nafasi ya dini bongo halafu unataka tujadili siasa na kunde na choroko!! samahani siwezi kucomment yanayokupendeza hili ni jukwaa huru!! naupenda uislam na nachukia mfumo kristo kuendesha nchi yangu, yaani wewe unajiona mbongo zaidi kuliko sisi wote? unatoa mamlaka yako kutoka kwa nani?

nimeelezea ukristo kiufupi sana kwenye moyo wake ( utatu mtakatifu) ili kila mmojawetu ajue msingi wa utawala huu naye Allah atamuadhibu vikali alieusimika uovu huu
Kikwete alikuwa mkristo

Mwinyi alikuwa mkristo


Wewe una matatizo,Uislamu ulishakuharibu na kukughiribu,umebaki kopo kichwani
 
Ninavyojua serikal hii unachaguliwa kwa uwezo na uchama. Udini hapana.
Kassim majaliwa, dada ummy, jafo, waziri wa ulinzi, na manaibu wazir wengine ambao ni dini nyingine kabisa tofauti na mkuu.
Bado mnalalamika?
Mzee amejitahid kubalance sana.
Kazi utapeqa kwa bidii yako ya ufanya kazi.
Mbona ata JK alijaza wakristo wengi , unafikiri kwanini aliitwa mdini? matamko kutoka kwa wakristo yalimuandama sana , lakini sasa hivi wametulia kama wamekufa, hii tabia mbaya sana
 
Kikwete alikuwa mkristo

Mwinyi alikuwa mkristo


Wewe una matatizo,Uislamu ulishakuharibu na kukughiribu,umebaki kopo kichwani
mimi siongei nawewe huna elimu ya juu ya kikristo nataka aje Kadinali ajibu yale maswali yangu kwanza!

umetaja marais walioongoza nchi katika christian system iliyooteshwa mizizi na Mwalimu na walipata disturbance kubwa kwa waraka za maaskofu zisizoisha ambazo kwasasa hatuzioni tena! wasingeweza kuibomoa system mara moja! lete points zingine!!
 
Ninavyojua serikal hii unachaguliwa kwa uwezo na uchama. Udini hapana.
Kassim majaliwa, dada ummy, jafo, waziri wa ulinzi, na manaibu wazir wengine ambao ni dini nyingine kabisa tofauti na mkuu.
Bado mnalalamika?
Mzee amejitahid kubalance sana.
Kazi utapeqa kwa bidii yako ya ufanya kazi.
Udini ndio tabia ya waislamu ndio maana kila kitu kwao ni nogwa....hakuna ambacho hawajalalamikia
 
hata wakati wa Ben,Kikwete hizi kelele zilikuwepo.Rais akiwa muislam anaambiwa mdini,akiwa mkristo anaambiwa mdini.
Wafinyu wa fikra.
acha propaganda mkuu hapa tunaangalia data sisi , kati ya wakristo na waislam ni nani wanapewa nafasi za ajira kubwa na elimu ya juu? hebu hesabu tu baraza la mawaziri wakristo wangapi waislam wangapi ina maana kuna wasomi wangapi waislam hawana vyeo na wamesoma sana? jifunze kusema ukweli!

mkuu acha unafiki, nikuulize na sema ukweli wako tafadhali hapa bongo tukiweka muislam na mkristo wenye sifa sawa kugombea nafasi ya kazi ni yupi huwa anapewa kipaumbele bongo? iambie nafsi yako ukweli! hivi dini yako potofu unayoiamini si ina amri kumi? na mojawapo si mnaambiwa mseme ukweli kule makanisani kwanini sasa wewe unapindisha ukweli huogopi kwenda motoni wewe? au unajivunia Yesu anabeba dhambi zako nawewe kuendelea na maovu? au kwa vile unajua utafanya maovu na kwenda kwa padri (binadamu kama wewe mwenye madhambi kuliko wewe ya kuchukua waumini wake za watu) kuungama badala ya kuomba msamaha kwa Mungu?

kobe mwenzenu katumbuliwa jana kwa kuchukua wake za watu na yule mwingine alitumbuliwa kwa ulevi!!
 
Udini ndio tabia ya waislamu ndio maana kila kitu kwao ni nogwa....hakuna ambacho hawajalalamikia
udini mmeusimika nyie nchini kupitia Mwalimu ambae alikufa siku nyingi hata watu hawakujua kuwa kafa wao wanajua yuko hai na mipira ya kupumulia mdomoni!! eti akasema nitamuona Rais wa tano nashangaa kwanini watoto wadogo wafe, basi Allah akamchukua haraka akaropokee vizuri ahera! Chezea Mungu wewe!!

msituzibe midomo ni haki yetu kusema hata nyie mngefanyiwa figisu hizi mngetoa matamko ya maaskofu kila siku!
 
mtoa mada umeanza vibaya mada yako kwa kusema hovyo kuwa mtu asie na akili hujadili suala la dini , wewe si muislam na hivyo huna uchungu wala hasara kwa waislam kunyimwa nafasi za elimu na ajira tangu tupate uhuru na ukweli tunamtakia Baba yetu yule apewe adhabu inayomstahili na Allah kwa kusimika mizizi ya mfumo kristo uliopotosha imani thabiti za mamilioni ya watu!

ndugu zangu wakristo wote nawaalika tafadhali someni hapa chini mjifunze kitu japo kimoja!!!

Mosi ikumbukwe mkristo akifa sisi waislam hatusemi alale mahali pema peponi bali kwakuwa amekufa akiwa kafiri tunasema alale mahali panapomstahili kama Mzee Ruksa aliposema kuhusu hayati Mwalimu , hatusemi ulale pema peponi kwakuwa tuna asilimia mia mbili tunajua maiti huyo kafiri anaenda kuuvaa moto wa milele na hatuna cha kufanya kumsaidia na unafki si jadi ya kiislam!!

sisi waislam wasomi wa bongo tuna hasira mno na mfumo kristo wa nchi hii na wakati wake ukifika itakuja kulipuka tu one day! ngoja tusomeshe kwanza watoto wetu!

kitabu chetu kitakatifu kinaonesha sehemu flani kuwa mara nyingi unapofanya mabaya duniani unapokufa Allah hukuanika mbele ya kadamnasi ndani ya sanduku kila mtu anapita na kuona ulivyokwisha na kubadilika rangi kuwa kahawia na kunyamaza kimya ndani ya Sanduku lako na hii ni tamaduni mbovu sana ya ndugu zetu wakristo kuanika maiti watu kupita na kukusimanga ndani ya sanduku wanasema nyoo kafiri mkubwa we si ulijifanya Mungu mtu ukatesa watu amka sasa kama unaweza! ziko stori za maiti kugeuza uso baada ya mtu flani aliemchukiza maiti kupita!! ndio maana muislam halisi ZZK alishinikiza sana Mama Mchungaji aliekufa aletwe bungeni nayeye amsimange wakati akipita kuaga kulipiza kosa la mama kupiga makofi eti ZZK auwawe ila akafa yeye!! mfano upo katika kitabu chetu kuna stori ya Farao aliemchukiza sana Mungu na kuachwa asioze kwa uwezo wake Baba kwakuwa wakati huo hakukuwa na dawa ya kukausha maiti kitabu kinasema alimkufuru Mungu kwa kujiita Mungu nae Allah akamhifadhi ili wanadamu wote wamuone mhalifu huyu karne kwa karne! ukienda Misri unamuona live!!

kwa mujibu wa kitabu chetu kile ukiwa kafiri kama makafiri waliojaa bongo huwezi kuwa na akili zote kila wakati dishi lazima huwa linayumba! fanya utafiti utaona jinsi madishi ya kikristo yanavyoyumba kila mara kama Bashite!!

ukweli waislam hawasemi chochote kuhusu ubaguzi uliopo kwenye elimu na ajira ili kulinda amani na mshikamano nchini ila waislam huona wakristo ni debe tupu linalovuma na huwaonea huruma sana kwa kuokotwa na wazungu ambao ukweli ni wapagani si wakristo!!!ukristo uko Vatican tu!!! ukibisha uliza wabongo walioko ulaya watakupa this fact!! mfano ukienda ujerumani wakimbizi wa kiislam wanaswali kiislam makanisani kwa wingi kwa kupokezana na wazee wachache wa kigalatia wanaosali, huko US waislam wananunua makanisa na kugeuza misikiti makanisa hayana mwenyewe waislam wanauziwa majengo na manispaa! kule Norway makanisa ndio kumbi za harusi kitchen party na sherehe kikundi chochote kikiomba kanisa hata kupiga muziki inaruhusiwa makanisa hayana mwenyewe naye Bashite anaongea tu utumbo!! katuchefua sana waislam wa nchi hii!

ukweli ni kuwa waislam huwaona makafiri wote duniani wako katika ndoto wakidhani wanaishi duniani kumbe wako usingizini na hii ni kutokana na kitabu kitakatifu kutoka Arabia kujaa mantiki aya zote , kitabu kutoa elimu zote na kutaja mambo ya nyakati zote na hii ni kuthibitisha kuwa ni maneno ya Mungu sababu Mtume Muhammad SAW alikuwa mfanyabiashara na hakusoma shule hata darasa moja na aliishi jangwani asingekuwa na akili ya kusema kila kitu kwa mantiki bila kukosea na kuwaza mambo ya karne mia mbele na kujua sayansi zote za mimea, mashine, uumbaji na ukuaji wa mimba nk!

Dini ya kikristo imejengwa katika kuta za tope kupitia utatu mtakatifu my foot!! kwa mujibu wa vurugu kubwa ya kiakili ya kuelewa utatu mtakatifu usioeleweka, elimu hii ya kikafiri inayopingana na Logic sasa naeleza vizuri hapa chini na hapo utaona wakristo wote duniani hawana akili kabisa japo hawajijui tu!

yaani wewe ni mtu mzima unaambiwa Mungu ni mmoja ila unahesabu unaona wako watatu na wewe una madigirii kama yote unashindwa kufikiri na unakubali huo utumbo kweli? ona sasa hapa chini hesabu taratibu bila mhemko wala kutumia imani uko nayo weka pembeni kwanza hesabu sasa Mungu wako wangapi!!

1.Mungu baba yuko mbinguni na kazi zake za uumbaji mojawapo ni kumuumba Mungu mwenzake (Yesu ) bila kuwa na baba
2. Mungu roho mtakatifu ni nani huyu ni malaika Gabriel au ni ile sauti iliyoko ndani ya mwanadamu imwambiayo cha kusema na kutenda muda wote?
3.Mungu mwana (Yesu) huyu ni binadamu kama mimi nawewe japo hakuzaliwa na baba na ni fundi seremala na yuko ardhini anahubiri injili ambako wanadamu aliowaumba (kumbuka yeye ni Mungu) wanamzidi nguvu wanamuua na kusababisha hapo hapo kutokea giza kwa Mungu kufa na dunia kuanza kujiendesha yenyewe kuanzia wakati huo sababu Yesu ni sehemu ya Mungu wale watatu sasa kuuwawa kwake msalabani kunasababisha na wale Miungu wengine wawili Mungu Baba na Mungu roho mtakatifu nao kufa maana na wao ni sehemu ya yeye (Yesu)! Wakristo wengine husema Mungu (Yesu) ni mmoja tu na ndo huyo huyo alishuka duniani na kule juu mbinguni kukawa empty kwa dhana hiyo ina maana Mungu (Yesu) aliposulubiwa msalabani na kuuwawa na mayahudi aliowaumba Dunia ilibaki bila Mamlaka ya Mungu??? this christianity is built in rubbish illogical thinking and dirty information!!

ama kweli akili ya wakristo iko kwenye mfuko wa sharti akivua shati akitundika analala free kama mtoto! yani tujiulize binadamu mayahudi wana nguvu ya kuua Mungu aliewaumba? (Yesu)?! akili au matope!! mfano eti kuku amuue kwa kumpiga binadamu anaemfuga!!!

kitabu kile kueleza yesu kufa mara mbili ( kufa msalabani na kupaa na baadae atarudi duniani na kufa tena) , we uliona wapi mtu alikufa akafufuka? kama ingekuwa kufufuka ni rahisi tungewafufua wapendwa wetu wote waliotangulia mbele za haki!! kifo ni mara moja tu na hakuna kufufuka kiboya boya! mantiki ya kiislam ni kuwa Yesu hakufa msalabani bali alipazwa juu ili binadamu wasiweze kumsulubu na asiwe ni mwenye kulaaniwa kwa mujibu wa mila za kiyahudi na biblia amelaaniwa kila aangikwae juu ya mti sasa iweje Mungu Mwana aangikwe juu ya mti auwawe kwa kupigwa misumari na wanadamu aliowaumba na alaaniwe hii ni akili au matope!! pale Giza lilitokea kwa masaa matatu ambako Yesu alipaa ni mzima na atarudi kuwakana wote waliomzushia kufa msalabani na atakufa sasa kiukweli si kifaulongo!!

mkristo yoyote atakaeona tabu katika kuelewa na kukubali dhana hii ya utatu mtakatifu japo kidogo ajue tayari ameokolewa wokovu umefika nyumbani mwake na asilimu kwa Sheikh haraka nami naamini kwa jinsi nilivyoeleza utatu mtakatifu vizuri mje kwa wingi na nyote tutawapokea inshaallah!

Makadinali wote wa dunia pamoja na maaskofu kaeni kikao kisha njooni hapa mnijibu mnieleze hoja zenye mantiki kwanini Mungu ni mmoja ana roho tatu na roho moja ikifa msalabani (Mungu Mwana Yesu) roho zingine mbili za kiumbe hicho hicho (Mungu Baba na Mungu Roho Mtakatifu) zibaki hai! Na kama Yesu ndie Mungu mkuu alieshuka duniani kwa umbo la binadamu kwanini aliowaumba wawe na uwezo wa kumtundika msalabani na kumuua? na kama walimuua kweli ina maana dunia haina Mungu tena?????

Ukiona kobe yuko juu ya mnazi ujue kapandishwa tu! wakristo mnapandishana juu kwa kutumia mfumo na hamtaki kusikia mada za udini kwa sababu ni mwiba kwenu!! nasi tukipata nafasi japo ndogo kama hizi tunakumbusha mmepotea huko njooni kwenye njia ya kweli na uzima wa milele kupitia mtume wetu Muhammad SAW

Viongozi wanapaswa kujua waislam wanahesabu idadi ya waislam walio na madaraka nchini na wanafuatilia kwa karibu kila teuzi japo kimya kimya tu siku yake ikifika watalipuka labda ni miaka 20 ijayo!
Hatua ya kwanza ya kujua umepotea, ni pale unapofanikiwa kumfafanua Mungu, kwa finite akili yako mpaka ukammaliza, huku akili yako hiyo hiyo finite inakwambia Mungu ni infinite. Kama wewe umeweza kumuweka Mungu kwenye akili yako, ukamuelewa,,,huyo Mungu ana sifa gani tena za kipekee ili abaki kuwa Mungu????je anatofauti gani na wewe???maana intellectual capacities mnalingana na amefit kwenye logic yako, hajakuzidi kiti.

Hapa ndo utagundua uislam ni takataka
 
Back
Top Bottom