SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
Aliwahi kuwa mwanaume zamani?
Yaani JF kuna burudani...Lolz:A S 13:
Aliwahi kuwa mwanaume zamani?
...MI naona kama huyo wa kulia mwenye mahereni ya rangi pink wala hawafanani na huyo Dina kiasi uzuri hauonekani kabisa!:A S 13::hand:hizo picha ni za mtu mmoja ama tofauti...? manake wawili wazuri na wawili hmmmmmmm....!
hizo picha ni za mtu mmoja ama tofauti...? manake wawili wazuri na wawili hmmmmmmm....!
Aiseeeeeeee!
Heshima kitu cha bureee jamani....nani kakamilika 100%?Aliwahi kuwa mwanaume zamani?
mbona sura yake ime......?
Ndiyo alikuwa mzuri. Lakini sasa kajiachia na uzuri unapungua kadiri anavyozidikunenepeana. Mshauri apunguze unene huo. Kwanza si jambo zuri kiafya.
Heshima kitu cha bureee jamani....nani kakamilika 100%?
akija bj atakwambia vingine preta kweli naona kila mtu na mtizamo wake