Son of Alaska
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 2,812
- 1,054
HUYU dinah CHADEMA nini? mbona kavaa magwanda ya chadema pichani?
yaah ni kweli sasa hv amepungua sanahapo alikuwa hajaanza mambo ya diet (mambo ya kubalance figure)
Jamani Dina mzuri na hizo dipo dahhh unaweza poteza network
uzuri ninaozungumzia ni uzuri wa sura tu; that is, facial beauty; bila shaka marios ana inner beauty lakini kwa leo napendelea zaidi uso wake!!!
Acheni kujadili sura za watu sasa this is not the Utamu aisee tumekosa la maana kweli?
Acheni kujadili sura za watu sasa this is not the Utamu aisee tumekosa la maana kweli?