JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,510
- 7,541
katika huu utaratibu mpya, nilisikia kuna makampuni matatu yaliyopewa haki ya kuendesha mfumo huo, mawili ni star times, agape, la mwisho sikumbuki jina lake lakini nakumbuka linahusiana na itv/star tv. naomba kueleweshwa
1. je kampuni hizi zitakuwa zinahusika na matangazo ya tv pekee au na redio pia?
2. je hawa watu wa dstv na zuku tv wao wanahudumiwa na nani hivi sasa? kwani wapo ndani ya hizo kampuni tatu? na kama hawapo mfumo ukianza rasmi wao watakuwa wanaangukia wapi kwa sababu waliopewa haki hizo ni kampuni hizo tatu tu?
3. watumiaji wa tv watalazimika kutafuta decoder, vipi kuhusu watumiaji wa redio, kutakuwa na mahitaji yeyote kwao pia?
4. ni kweli kuwa mmiliki wa redio au tv binafsi hatalazimika kuwa na mitambo ya kurusha matangazo kila mkoa bali kazi hiyo itafanywa na kampuni hizo tatu kwa malipo?
5. hakuna uwezekano wa kampuni zote hizo kutumia decoder moja, na kuondoa ulazima wa kuwa na mlundikano wa decoder pia kupunguza gharama? (kama vile mtumiaji wa simu anakuwa na simu moja lakini ana uwezo wa kuweka laini za mitandao tofauti hivyo halazimiki kuwa na simu nyingi). au teknolojia hairuhusu?
naomba niishie hapa kwa leo!
1. je kampuni hizi zitakuwa zinahusika na matangazo ya tv pekee au na redio pia?
2. je hawa watu wa dstv na zuku tv wao wanahudumiwa na nani hivi sasa? kwani wapo ndani ya hizo kampuni tatu? na kama hawapo mfumo ukianza rasmi wao watakuwa wanaangukia wapi kwa sababu waliopewa haki hizo ni kampuni hizo tatu tu?
3. watumiaji wa tv watalazimika kutafuta decoder, vipi kuhusu watumiaji wa redio, kutakuwa na mahitaji yeyote kwao pia?
4. ni kweli kuwa mmiliki wa redio au tv binafsi hatalazimika kuwa na mitambo ya kurusha matangazo kila mkoa bali kazi hiyo itafanywa na kampuni hizo tatu kwa malipo?
5. hakuna uwezekano wa kampuni zote hizo kutumia decoder moja, na kuondoa ulazima wa kuwa na mlundikano wa decoder pia kupunguza gharama? (kama vile mtumiaji wa simu anakuwa na simu moja lakini ana uwezo wa kuweka laini za mitandao tofauti hivyo halazimiki kuwa na simu nyingi). au teknolojia hairuhusu?
naomba niishie hapa kwa leo!