Did Nyerere admit he was a "failure"? Some say "Yes he did"...

Sijai refer hiyo speech, nimesema Nyerere Farewell Speech. na ndio pengi nilipoisoma wanasema hivyo.

Huyo aliyoiweka hiyp speech moja anataka iaminike kuwa nyerere aliaga kwa hotuba moja tu, huo si ukweli, nyrere kama nilivyokueleza kwanza, hajaaga kwa hotuba moja, alizunguka Tanzania na nje ya Tanzania akiaga.

Cha kushangaza ni kwamba si mara moja nyerere kuadmit mistakes, na alii quote mwenyewe mkjj mimi nikaongezea tu, kusema si mistakes tu bali kisha admit he "failed", sasa tatizo nini?

Nawashangaa wanaoikataa hiyo kauli ya Nyerere na ni maneno machache yaliyompatia sifa kubwa sana.

Kwa upande wangu, Nyerere was failure. Aliyekuwepo wakati wa Nyerere ataelewa nasema nini, lakini anaehadithiwa hadithi za kupotoshwa anaambiwa kuwa nyerere ni "Saint". Hana u Saint wowote. Wala wasiwadanganye, nilikuwepo.

Wewe ulikuwa unasema "Nyerere farewell speech" hukusema "Nyerere farewell speeches", pamoja na kwamba wengine tulikuwa wadogo ambalo sio kosa bado tunapata simulizi kutoka kwa watu waliokuwa wakubwa kama wewe, kwa nini simulizi zenu zinatofautiana kwa hiyo ni jukumu letu kufuatilia kwa makini na kuamua yupi anasema sahihi na ufutiliaji haujaanza leo.

Sisemi kwamba alifanya mazuri yote yapo mabaya lakini mazuri ni mengi kuliko mabaya hilo hata yeye alishasema, lakini kusema he failed, hiyo hapana, tuchukue mfano wa mwanafunzi anayehitimu kidato cha nne na muda wake wote wa miaka minne amesoma masomo tisa na kwenye mtihani wa mwisho kafanya masomo tisa, matokeo yametoka ana F kwenye masomo mawili, D somo moja A masomo matatu, B kwenye majomo mawili na C somo moja, wapo watu watakaosema amefeli ukilinganisha na waliopata A na B kwenye masomo yote, lakini kiuhalisia huyu mtu hajafeli ukweli ni kwamba kuna baadhi ya masomo amefanya vibaya na masomo mengine amefanya vizuri.
 
Mchezaji mieleka maarufu wa Marekani kwa jina la Ric Flair alikua na msemo "In order to be the man you have to beat the man." So far nobody has come close to matching Nyerere so even though he is dead he is still the man. Must be embarrassing for the current leaders to know that they don't hold a candle to a dead man.
 
".....YAPO MAZURI NA YAPO MABAYA.....TATIZO LENU MNACHUKUA MABAYA(ya kipumbavu) NA KUYAACHA MAZURI....."
Huenda nukuu yangu haiko sawa sana lakini alikuwa akieleza kuna sehemu walikosea kama binadamu.....lakini ni jukumu la serikali inayokuja kuyarekebisha yale waliyokosea na si kuyaendeleza....! NYERERE NI MFANO WA KUIGWA....SOKOINE NAMBA MBILI......!
 
Nina ombi, wote tunaolitakia mema taifa hili tuningie kwenye mapambano kufichua mpango wa kuzika mawazo ya Nyerere. Mwl is one of the potential targets in this.


Kwa kuongezea,

NYERERE KWA AFRICA SO FAR HANA MPINZANI! WANAOMCHAFUA WANAJIHANGAISHA MAANA HATA WALIE WAJIGALAGAZE HAWATAWEZA WALA HAWATAFANIKIWA KAMWE.HISTORIA ILISHAANDIKWA POSITIVELY NA DUNIA IKAMKUBALI.LEO KAFA WANAJIHANGAISHA KUMCHAFUA..

WASHAURIWE KWAMBA

1.THE ONLY WAY KUMFUTA KWENYE VITABU VYA HISTORIA KAMA KIONGOZI MFANO NI KWA WANAOMSUTA KUTENDA MAZURI KWA KIWANGO KILE KILE AU KUMZIDI WHICH I DONT SEE HAPPENING!

2. WAELEKEZE NGUVU ZAIDI KUTENDA MAZURI NA KUOKOA NGUVU BADALA YA KUWATUKANA WALE WALIOKUFA.
 
Wakuu JF samahani sana, sina maana ya kuharibu thread wala kuingilia uhuru wa mawazo.
Kuna wakati tulikuwa na mvuruga mada anaitwa maji Mshindo kama mnakumbuka. FF vs majimshindohapo chini.
Huyu si mwanamke.Hizi ni baadhi kati ya nyingi sana, teknolojia!!
FaizaFoxy;2110780]Nimeiweka simple, hupendi? Au wewe "lugha mama" kwako ni kiingereza? Wengine sisi kiingereza ni lugha ya 4, ya kwanza ya mama, ya pili kiswahili, ya tatu ya Qur'an, ya nne ndio kiingereza.
Majimshindo;1808168]Wa Swahili msishangae mkiambiwa maneno mengi ya kiswahili yametokana na kiarabu hata kiIngereza kina maneno mengi ya kiarabu
Majimshindo;1728143]Kama yote yaliyotajwa na mtowa mada ka "fail", kipaji kipi alichokuwa nacho? labda cha kupiga porojo au "komedi
FaizaFoxy;2111395]alikuwa "orater" mzuri sana
Huyu ni mwanamke kweli?????????????????????!!!!!!!!!!!!!!
Kama wewe huna dini au dini yako ni ya kuchapwa kulia ukageuza uongezwe na kushoto, Uislaam sio hivyo babuwee, waulize wa merekani wakueleze.
FaizaFoxy;2111430 Ahsante Kikwete.
FaizaFoxy;2043124]Kama ipi? Mbona juzi tumeona Kikwete akishinda kesi ya Mabilioni ya Rada, madudu yaliofanywa na Mkapa
Majimshindo;1812867]Mnyika usitafute umaarufu kupitia kwa JMK yale maji marefu huyawezi, utazama buree kwa kutafuta sifa.[/QUOTE
FaizaFoxy;2111430Hiyo wazi kabisa, nenda holywood kaulize kuhusu JMK utaambiwa huyo mtu wetu huyo, au unabisha? wivu si mnajulikana mlivyokuwa na vijiba vya roho!
FaizaFoxy; Zanzibar ndio kitovu cha ustaarabu Afrika mashariki, Zanzibar wakati watu wanavaa lasi, mabara huko bado walikuwa wanatembea na iadha ngizo tu za kuficha mbele na nyuma ku wazi au kipande cha kaniki. Sasa kwa nini tusipaenzi kituo cha ustaarabu wetu? hata lugha ya Kiswahili ambayo leo tunajivunia imesambazwa kuanzia Zanzibar. Huo ukirosto wenu nao pia umeanzia kuingia bara kupitia Zanzibar, Sasa kwa historia kama hiyo kwa nini tusipaenzi Zanzibar.
Majimshindo;1817251]Wanouchukia sio Muungano wanachukia kuwa in spite ya hila za kikurusedi za nyerere (saint to be), zanzibar imeng'amua na sasa inajijuwa kuwa ilitaka kumezwa. Kitu kinachwaumiza sana ni utaifa wa Zanzibar, na chuki zimezidi baada ya wa bara wengi kunyimwa vitambulisho vua uzanzibari. Walikuwa wakipelekwa huko makundi kwa makundi, sasa hata wakae miaka 100, zanzibar imewastukia. Hapo sasa.
FaizaFoxy;2043063]Nakumbuka Bunge lililopita, Mbunge mpya kwa tiketi ya cdm, Tundu Lissu, alipokuwa anajitafutia umaarufu Bungeni kwa kufanya u"tundu" na kuzua malumbano kwa kila hoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, alisimama Chenge na kumpa Tundu hoja moja tuu ya kisheria ambayo ilimfanya Tundu kuwacha utundu wake wa kulumbana, kwani kwa pale ilidhihirika wazi kuwa Tundu ni katoto kwa Chenge Majimshindo;1744724]Huyo Lissu si bado kichinchiri kwenye siasa na sheria, kwa hiyo anatafuta pa kuanzia hajapapata. Usishangae akirukia kila atachokiona
Majimshindo;1741898]Nyerere miaka 24 alifanya nini kwenye hili?
FaizaFoxy;2111430]1) Mimi simpendi Nyerere kabisa tena, because hakuna jema hata moja nililoliona kutoka kwake zaidi ya udikteta na kuchonga sana. Wewe unaweza kunambia kipi kakifanya nyerere cha maana hata nimende?
FaizaFoxy;2045773]Bahati mbaya kachelewa kidogo, mimi nna "fisadi" langu nyumbani ambalo hata huyo fisadi wenu akikutana nae anamuamkia. Fisadi wenu si unamjuwa? Yule wa malori used.
Majimshindo;1744740]NSSF watarithi madeni na watarithi kudai madeni. Hata sasa NSSF wanadai madeni yao mengi tu, mmoja wa wadaiwa sugu wa NSSF ni Mbowe Hotels Limited, kampuni ya Mwenyekiti wa CHADEMA akishirikiana na Mkewe
FaizaFoxy;2043038]Jee kuna sababu yoyote ya maana kwa kutumia huduma ya mtu halafu usimlipe?
Majimshindo;1740560]Mitambo Ya Dowans ndio yenye kuuza umeme bei rahisi kuliko mitambo yeyote ya aina hiyo iliyopo Tanzania. Of-course, ukiiwasha unailipia usiiwashe unailipia. Hapo ndipo nikasema aliyezowea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi. Wengi wetu wanadhani kwa kuizima ile mitambo ndio hauilipii………….
Majimshindo;1741785]Kama ulikuwa huelewi kuwa mwanakijiji ni fataani sasa ndio utamuelewa. Ushawahi kuona kitu chochote "positive" kutoka kwake? Mimi sijawahi, majungu, fitina, kuponda hayo ndio ayajuwayo yeye. Fikra zake ni kuanzia sasa kurudi nyuma, hana uwezo wa kutazama ya kesho tu licha ya mbele zaidi. Huu ni ugonjwa unaosabishwa na wivu, chuki, roho mbaya za kurithi "genetically". Hauna dawa.
Hasad zimemjaa.
FaizaFoxy: ........Mwanakijiji fataani.......
 
Katika hotuba zake zinazorushwa hewani na TBC Taifa (Wosia wa Baba) ipo hotuba inayosema: 'Yapo mambo mazuri yaliyofanywa na serikali ya awamu ya kwanza lakini pia yapo mambo ya kipumbavu yaliyofanywa na serikali ya awamu ya kwanza, kwa bahati mbaya ninyi mnayaacha mambo mazuri na kuyachukua mambo yale ya kipumbavu!'.

Tafakari hayo.
 
Ni kweli Nyerere amefanya makosa hapa na pale kama binaadamu yeyote lakini si kwa hila bali nia yake na maisha ya niushahidi tosha.
Maeneo mengi aliyofanya makosa zaidi ni pale watu hawakufuata miongozo yake na kwa wanafiki, ambapo hakupata support in the teamwork.
 
Kwenye mada ile kulikuwa na jaribio dhaifu la kupotosha kilichopo kule kwa kuleta hoja ya "failure" ambayo peke yake ni hoja inayojisimamia. Mjadala wa hotuba iliyosahauliwa unahusiana na yale ambayo yalitokana na kitendo cha wanafunzi kugoma na kwenda Ikulu na jinsi Nyerere alivyowapa somo kuhusu uzalendo. Mkitaka kuzungumzia suala la alisema amefeli well.. hapa mahali muafaka.
Lakini wewe haukujua dhamira yangu na ndio uko nilikodhamilia kuchangia ndiko kunapaswa post zangu zibaki... La ungetufahamisha na kututaka ushauri au ungefungua topic mpya bila kuhamisha mawazo yetu ambayo yalitokana na post ile. Na wasomaji ndio wangepaswa kuhukumu na si kuhamisha mabandiko sehemu ambayo haiusiki, huu ni udikiteta wa kulazima watu wakaishi kwenye camp a.k.a vijiji vya ujamaa, ni jinsi gani unaonyesha kuendeleza sera zake Julius Kambarage Nyerere.
 
Nimeiweka simple, hupendi? Au wewe "lugha mama" kwako ni kiingereza? Wengine sisi kiingereza ni lugha ya 4, ya kwanza ya mama, ya pili kiswahili, ya tatu ya Qur'an, ya nne ndio kiingereza.

Toa umbea hapa
Qur'an sio lugha ni kitabu, lugha ni kiarabu ambacho haukielewi.
Labda tu nikudoze, ndo ishakuwa, Nyerere alikuwa rais wa kwanza wa Taifa hili,
na anaheshimika ndani na nje ya taifa hili kama baba wa Taifa la Tanzania.
kama kuna kosa lolote alifanya tunaweza tukajidili kama ambavyo tunaweza
kujadili kosa la baba yako kukurithisha imani ambayo wewe mwenyewe hauwezi
kuyasoma maandiko yake na kuyaelewa.
 
Nlikuwepo lakini sikuwa na degree kwa sababu umri wangu ulikuwa bado mdogo na huwezi kunitisha na degree yako ya zamani hata mimi ningezaliwa zamani hiyo ningepata degree zamani vile vile, kama unajua hayo ni ya leo na wewe umezoea makaratasi kwa nini usichukue hayo makaratasi uende uscan halafu utuwekee hiyo soft copy, kwa nini umekimbilia wikipedia ambayo unajua wewe mwenyewe haikuwepo kipindi chako.

We unafikiri kuna msomi (kama anavyodai yeye)
makini apo, haujaona anamshauri mtu aka - google kupata evidence.
 
Toa umbea hapa
Qur'an sio lugha ni kitabu, lugha ni kiarabu ambacho haukielewi.
Labda tu nikudoze, ndo ishakuwa, Nyerere alikuwa rais wa kwanza wa Taifa hili,
na anaheshimika ndani na nje ya taifa hili kama baba wa Taifa la Tanzania.
kama kuna kosa lolote alifanya tunaweza tukajidili kama ambavyo tunaweza
kujadili kosa la baba yako kukurithisha imani ambayo wewe mwenyewe hauwezi
kuyasoma maandiko yake na kuyaelewa.


Imekugusa pazuri eenh?

Alikuwa Rais na pia Dikteta wa kwanza na wapili akaja kuwa Mkapa au umesahau?
 
Sitazungumzia kukubali kwake, but to me Nyerere was a failure leader. Nina mambo mengi ningeweza jaza hapa kuonyesha aliposhindwa but have no time, huwa nashangaa sana watu wakimsifia na kumlinganisha na viongozi wa kizazi hiki, its nosense hata kihesabu huwa tunafanya research na tunalinganisha vitu vikiwa kwenye same conditions, sio hizi za watu 11mwa enzi za Nyerere , na watu 30 na 40m wa sasa. Hata kwenye family familia ikiwa na mtoto mmoja haitalingana na familia ikiwa na watoto 5, maisha yatatofautiana tu. Let me go Nyerere ana mvuto wake tu aliweza kutuletea uhuru but not The best leader kwa kuleta maendeleo.
 
Faiza,
Hauoni hata moja alilofanikiwa Mwalimu? Kuna kautando fulani kameifunika akili "all the way".

Tatizo mnasomeshwa mafanikio ya uongo ya nyerere, mie nilikuwepo wakati wake, alichofanikiwa nyerere ni kuongea sana lakini utendaji na maamuzi yake yote yamefail. Kama yalifanikiwa kwa nini yasiwepo mpaka leo? labda alifanikwa kuikurusedi nchi na kutia ndani mashehe na kuliendeleza kanisa. Jee unajuwa kuwa kanisa ndio linahodhi ardhi kubwa Tanzania baada ya Serikali, hayo kweli ni mafanikio ya nyerere.
 
Back
Top Bottom