MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Uki zingatia kuna wanaJF wengi tu ambao ni diaspora nadhani thread hii itagusa wengi. Swala linalo endelea sasa la dual citizenship(uraia wa nchi mbili) imenifanya nikae nitafakari jinsi haswa diaspora inavyo isaidia au inavyo weza kuisadia nchi.
Kwanza tuanze na swala moja. Mpaka sasa diaspora ya Tanzania imeisaidiaje Tanzania? Siyo kwama nasema hawaja isaidia....la hasha. Ila katika kuchunguza chunguza sija fanikiwa kujui diaspora yetu imeisaidiae mpaka sasa. Labda watu wenyewe wa diaspora wanaweza kusema hivi ndivyo diaspora ilivyo isaidia nchi mpaka sasa. Tuelimishane.
Mimi naona kikubwa kita kacho saidia diaspora yetu kutumika ipasavyo ni kujua tuna diaspora ya aina gani. Kama unavyo jua diasporas ni tofauti katika nchi na nchi. Tunge kuwa na njia ya kujua kitakwimu kwamba diaspora yetu kuna watu wa aina hii na hii na hii inge saidia sana. Kama % fulani ya diaspora yetu ni wasomi tujue, kama % fulani ya diaspora wanafanya manual labor tujue. Mfano mzuri ni Wafilipino. Wao asilimia kubwa ya diaspora yao wanaenda kufanya kazi kama za uhousegirl na udereva katika nchi kama Japan na UAE. Ila kwa ajilini ina julikana kabisa kwamba diaspora yao ni ya aina gani imesaidia nchi na hawa mahousegirl na madereva wameliingizia taifa lao pesa nyingi za kigeni pamoja na kupunguza mzigo wa ajira.
Kwa nionavyo kwa Tanzania, na I could be wrong. Kama nime kosea naweza rekebshwa. Majority ya diaspora yetu ina include makundi haya.
a)Watu walio zamia nchi zingine kujaribu bahati yao
b)Watu wanaofanya manual labor
c)Wasomi wa Kitanzania ambao aidha walisomea huko waka amua kubaki au wasomi waliotoka Tanzania kwenda ktafuta mafau makubwa zaidi nje.
d)Wafanya biashara wa kati(medium scale businesspeople).
Kama kuna makundi mengine sija yaorodhesha samahani mtani samehe na kuni saidia.
Mimi nadhani kundi linalo weza kusaidia taifa kwa haraka na impact kubwa zaidi ni kundi la wasomi na wafanya biashara wa kati. Siyo kusema hayo makundi mengine hawana nafasi ya kusaidia nchi bali ni kwa sababu kwa nchi masikini kama Tanzania nadhani ina hitaji resource kubwa zaidi ya wasomi na wazalendo wenye uwezo wa kuwekeza kwenye sekta mbali mbali.
a)Wasomi: Nchi yoyote duniani iwe masikini au tajiri it's biggest resource ni wasomi wake. Hawa wasomi wa Kitanzania kwenye diaspora wanabidi wapewe incentives za kurudi nyumbani. Hawa wanaweza kuleta mabadiliko makubwa sana kwa sababu waakuja na elimu na pia fikra zilizo panuka zaidi kutokana na experience ya kuishi nje. Kama kweli serikali ina nia nadhani isi kazanie swala la dual citizenship bali ijikite katika kushawishi wasomi wa nchi yao waliopo nje warudi nyumbani. Wasomi hawa the can be the change!
b)Wafanyabiashara: Wata leta nini? Capital and skills. Wata leta pesa na kuwekeza kwenye uchumi wa nchi yao kitu kitakacho wafanya wajione wana stake kubwa zaidi kwenye maendeleo ya nchi yao. Pia wataleta business skills ambazo maybe kwa Tanzania hatuna. Kundi hili siyo lazima wahamasishwe kurudi kama ilivyo kundi la wasomi ila wahamasishwe kuwekeza Tanzania kwa wingi zaidi. Pia hii itasaidia wabia wao waliopo Tanzania wawe na business connections na nchi alipo huyo diaspora. Simple exchange of capital and skills. Hawa wakipewa dual citizenship naelewa as long as they know nafasi wanazo weza kushika kwenye ofisi za nchi zipo limited.
Nadhani kila Mtanzania aliyepo nje bado ana nafasi ya kuitumikia taifa lake kwa namna moja au nyingine. Ila kwa maoni yangu tu nimeona hayo makundi mawili niliyo ongelea hapo juu yana nafasi kubwa zaidi ya kuisaidia nchi kama Tanzania which is and seems to always be in a political and economic crisis. Najua kuna wengi(haswa wale wa diaspora) ambao hawata kubaliana na nilicho kiandika but ndivyo nionavyo mambo na nasimamie mawazo yangu.
Kwanza tuanze na swala moja. Mpaka sasa diaspora ya Tanzania imeisaidiaje Tanzania? Siyo kwama nasema hawaja isaidia....la hasha. Ila katika kuchunguza chunguza sija fanikiwa kujui diaspora yetu imeisaidiae mpaka sasa. Labda watu wenyewe wa diaspora wanaweza kusema hivi ndivyo diaspora ilivyo isaidia nchi mpaka sasa. Tuelimishane.
Mimi naona kikubwa kita kacho saidia diaspora yetu kutumika ipasavyo ni kujua tuna diaspora ya aina gani. Kama unavyo jua diasporas ni tofauti katika nchi na nchi. Tunge kuwa na njia ya kujua kitakwimu kwamba diaspora yetu kuna watu wa aina hii na hii na hii inge saidia sana. Kama % fulani ya diaspora yetu ni wasomi tujue, kama % fulani ya diaspora wanafanya manual labor tujue. Mfano mzuri ni Wafilipino. Wao asilimia kubwa ya diaspora yao wanaenda kufanya kazi kama za uhousegirl na udereva katika nchi kama Japan na UAE. Ila kwa ajilini ina julikana kabisa kwamba diaspora yao ni ya aina gani imesaidia nchi na hawa mahousegirl na madereva wameliingizia taifa lao pesa nyingi za kigeni pamoja na kupunguza mzigo wa ajira.
Kwa nionavyo kwa Tanzania, na I could be wrong. Kama nime kosea naweza rekebshwa. Majority ya diaspora yetu ina include makundi haya.
a)Watu walio zamia nchi zingine kujaribu bahati yao
b)Watu wanaofanya manual labor
c)Wasomi wa Kitanzania ambao aidha walisomea huko waka amua kubaki au wasomi waliotoka Tanzania kwenda ktafuta mafau makubwa zaidi nje.
d)Wafanya biashara wa kati(medium scale businesspeople).
Kama kuna makundi mengine sija yaorodhesha samahani mtani samehe na kuni saidia.
Mimi nadhani kundi linalo weza kusaidia taifa kwa haraka na impact kubwa zaidi ni kundi la wasomi na wafanya biashara wa kati. Siyo kusema hayo makundi mengine hawana nafasi ya kusaidia nchi bali ni kwa sababu kwa nchi masikini kama Tanzania nadhani ina hitaji resource kubwa zaidi ya wasomi na wazalendo wenye uwezo wa kuwekeza kwenye sekta mbali mbali.
a)Wasomi: Nchi yoyote duniani iwe masikini au tajiri it's biggest resource ni wasomi wake. Hawa wasomi wa Kitanzania kwenye diaspora wanabidi wapewe incentives za kurudi nyumbani. Hawa wanaweza kuleta mabadiliko makubwa sana kwa sababu waakuja na elimu na pia fikra zilizo panuka zaidi kutokana na experience ya kuishi nje. Kama kweli serikali ina nia nadhani isi kazanie swala la dual citizenship bali ijikite katika kushawishi wasomi wa nchi yao waliopo nje warudi nyumbani. Wasomi hawa the can be the change!
b)Wafanyabiashara: Wata leta nini? Capital and skills. Wata leta pesa na kuwekeza kwenye uchumi wa nchi yao kitu kitakacho wafanya wajione wana stake kubwa zaidi kwenye maendeleo ya nchi yao. Pia wataleta business skills ambazo maybe kwa Tanzania hatuna. Kundi hili siyo lazima wahamasishwe kurudi kama ilivyo kundi la wasomi ila wahamasishwe kuwekeza Tanzania kwa wingi zaidi. Pia hii itasaidia wabia wao waliopo Tanzania wawe na business connections na nchi alipo huyo diaspora. Simple exchange of capital and skills. Hawa wakipewa dual citizenship naelewa as long as they know nafasi wanazo weza kushika kwenye ofisi za nchi zipo limited.
Nadhani kila Mtanzania aliyepo nje bado ana nafasi ya kuitumikia taifa lake kwa namna moja au nyingine. Ila kwa maoni yangu tu nimeona hayo makundi mawili niliyo ongelea hapo juu yana nafasi kubwa zaidi ya kuisaidia nchi kama Tanzania which is and seems to always be in a political and economic crisis. Najua kuna wengi(haswa wale wa diaspora) ambao hawata kubaliana na nilicho kiandika but ndivyo nionavyo mambo na nasimamie mawazo yangu.