Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
Huyo liyumba ndio nano jamani
Hii ni list of shame.kama ni kweli then sizana kama kunamtu atavunja record ya liyumba.
Hii ni list of shame.kama ni kweli then sizana kama kunamtu atavunja record ya liyumba.
yep aliyekuwa BOT...List ni ya ukweli 95% ..tena hapo wengi umewasahau..wengine tulikuwa tunapishana nao pale kwa secretary wa Liyumba wakienda kuchukua bahasha...Mkuu@C.T.U inaonekana unajua unachokiandika! Liyumba huyu ndio yuleyule wa BOT?
Alishafariki siku nyingi...Usijali torooonto,
nitakuwekea picha ya huyo Linda huko Pm kwako.
Ila ni mdada mzuri sana.
Slim and tall kiasi.
hii list ya kweli, kudos liyumbajamani watu wengine kwakuyaongelea ya watu bila ushahidi kamili,wewe ulikua kuadi wa Liyumba? umewajuaje hao? au ulikua ndio ukiwashika miguu mpaka ukasema yote hayo? ebu mengine nayakupite kuna mengi yakufanya kuliko kufatilia ya watu,nadhani ulonayo yakutafuta maisha huja yamaliza ebu fanya yako yakwao wachie wenyewe.........
uyu mzee kalitendea haki dushe lake lol