Big up sana Platnumz,endelea kuwakimbiza...watabaki stk stk....stk my a$$!!!...
Unapiga mademu wa ukweli.....walisema opa opa sasa unasukuma Prado.....ata siku ukianika mjengo watakuja na la kusema tu....sunajua wana stress za maisha mnyamwezi..wengi shule kuuubwa lakini mpaka kesho akijaeleweka....wengine wamepiga boks mpaka wamekomaa sura bado hawajatimiza ndoto....we kiulaiiiini mtoto wa tandale mbona watakutaka!!!
Ebu wasepe uko na stress zao za kwa muhindi..
Nimependa sana comment yako. Nashangaa watu wanasema amenunua gari za wanasiasa, sijui prado ni common sana, wengine eti angeanza na nyumba na blah blah zingine nyingi.
Swali langu ni mbona wengi wenu hapa mjini mna magari na hamna nyumba? Wale wanaosema eti angenunua sijui kama magari ya kina Diddy nawaambia acheni wivu na maneno ya kimbeya mbeya.
Kuhusu nyumba, mbona blogs zilionyesha nyumba anazojenga wiki 2 zilizopita?
Alipokuwa na Opa mkasema celeb gani anaendesha Opa, kanunua Toyota Prado bado mnachonga....kweli binadamu ni noma.
Diamond mimi binafsi nakupongeza kwa kila hatua unayopiga kusonga mbele. Hongera kwa kumjengea nyumba mama yako na hongera kwa kuendelea na kumalizia nyumba yako ya tegeta na hongera kwa kununua Prado.
Acha wasafisha vinywa waendelee kupiga domo.
Big up sana Platnumz,endelea kuwakimbiza...watabaki stk stk....stk my a$$!!!...
Unapiga mademu wa ukweli.....walisema opa opa sasa unasukuma Prado.....ata siku ukianika mjengo watakuja na la kusema tu....sunajua wana stress za maisha mnyamwezi..wengi shule kuuubwa lakini mpaka kesho akijaeleweka....wengine wamepiga boks mpaka wamekomaa sura bado hawajatimiza ndoto....we kiulaiiiini mtoto wa tandale mbona watakutaka!!!
Ebu wasepe uko na stress zao za kwa muhindi..
awe na health insurance sio akianza kuumwa hapa kina joti waanze kusumbua watu kuchangisha pesa
Elimu haiko kwenye Vyeti Dada yangu, mtu anayetambia vyeti ni mshamba tu, ndio maana Wazungu wengi wanaotoa ajira ambazo siyo too Professional huwa wanaajili mtu kwa kumpima IQ yake tu hawana mpango na vyeti.Ha ha haaa uko sahihi sana,yaani elimu ya bongo mtu anabaki kujivunia Certificate tu,halafu ooh diamond ana elimu ndogo kumbe stress.
Utaambiwa una wivu shauri yako, kuna watu humu wenzako hata bei ya Bajaj hawaijui!!Mbona gari ya kawaida sana hyo!
DIAMOND NA NYUMBA YA MILIONI 69 | Said Nuhukwenye red; umeviona au umeambiwa???