Pi Network
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 290
- 319
Nikiwa mtumiaji mzuri wa apps maarufu duniani inayoitwa Spotify, kwa mara ya kwanza leo nimesikiliza nyimbo za msanii wetu mkubwa Diamond Platinum ndani ya Spotify.
Hakuna nyimbo nyingine kutoka Tanzania zaidi ya yeye katika apps hii, kwa kweli huyu kijana ni wa Kimataifa na hafananishwi na yeyote.
Hakuna nyimbo nyingine kutoka Tanzania zaidi ya yeye katika apps hii, kwa kweli huyu kijana ni wa Kimataifa na hafananishwi na yeyote.