Diamond na Wema, Full drama!

Kauendelea kaumjadil mzinzi sawa na kaueendekeza umalaya sasa una mwanamkae ana mimba unaend aakwa irene uwoya kipi umekikosa kwenye uchi wa penny uwoya anacho?
 
kauendelea kaumjadil mzinzi sawa na kaueendekeza umalaya sasa una mwanamkae ana mimba unaend aakwa irene uwoya kipi umekikosa kwenye uchi wa penny uwoya anacho?

we ndie ulikuwa unawachungia nguo zao za ndani kipindi wanananilino kama unavyodai??wasoma magazeti ya shigongo sijui mkoje
 
Yani huyu dogo ana hitaji ushauri kabisa anako kwenda siko kabisa!

Nadhani anayehitaji counseling ni huyo binti Sepetu. Baada ya kutoswa laivu kwenye concert hakujifunza. Sasa bado anamtakia nini Diamond wakati anajua huyo dogo ana manzi wake?
 
wote wapuuzi, na hili ni tatizo la kukosekana kwa wanaume badala yake kuna wakiume wengi siku hizi ndo maana wanadiriki kurekodiana...... Mwanaume anayejitambua asingefanya huo ujinga....angalau ujinga huo angefanya mwanamke angalau mtu ungejaribu kuelewa...

By the way mnona clip yenyewe haijasikika wema akibembeleza penzi? Au nahitaji MIWANI ya masikio?

Anyway wote wakikua wataacha....
 
Ushamba ndio unaomsumbua diamond na hivyo vijisent vyake ndo vyammpa kiburi jamani shule muhimu angekuwa japao na shule kidogo angeweza kufikiri kwa mapana before kumrekodi mwenzake maniner zake diamond
 
Inaonekana nimepitwa na mambo mengi ya hawa ma-celebrity wannabe naomba hiyo clip hapa na mimi nijiridhishe kabla ya kutoa hukumu kwa hawa....

Sent from BlackBerry 8520
 
Ushamba ndio unaomsumbua diamond na hivyo vijisent vyake ndo vyammpa kiburi jamani shule muhimu angekuwa japao na shule kidogo angeweza kufikiri kwa mapana before kumrekodi mwenzake maniner zake diamond
 
u know wt guyz! m namshangaa mchizi kinoma yani!kama hampendi wema kinachofanya umuweke kwenye baadhi ya mistari yake ni nini?????? Aseme Tu Ana Mfeel Sema Tu Ndo Vle!
 
Ile clip ina maana hamjaisikiliza vizuri au? Ile ni feki bna,
Diamond si mjinga sana kufanya upuuzi huo, na kama angefanya basi ni ----- dunia nzima...
 
Maadam anatoa swadaka ya ujenzi wa msikiti hapo dar hayo mengine hayatusu
 
Nathubutu kusema diamond hajawahi kuona mama yake amepata upendo kutoka kwa mwanaume hivyo. kamwe hawezi.kujua thamani ya upendo kwa mwanamke..,,,,,,,,
Unataka utuonyeshe kwamba wewe ni bingwa wa kupendwa au
[h=5]lakin kwa ulichokifanya inaonyesha u want our attention na we will give u nothing more than shits.
[/h][h=5]want 2 show us ww ni bingwa na unapendwa? umekusudia kumdhalilisha? hakuna anaekuona kam[/h]
 
mie kifua chake tu wallah! Zile packs ni noumerrrrrrrrrr!! Lets call a spade a spade!

hamna Kitu hapo bwana ...yaani wewe cacico hana mvuto yakhe sema vijisenti vichache vimemtembelea kachanganyikiwa
Mwanaume wa ukweli hawezi kufanya Ujinga huo ..HUYU Mbagalaaaaa..hajitambui ...
Wema nae sijui aliwekewa Libwata na Diamond ..ndo maana kila akimuwaza anachanganyikiwa ..unaweza kuta ni nguvu za Giza sio bure.
 
Ww kama fan wao unadhani baada ya Diamond kumrekodi wema alipompigia cm na kusambaza kwenye social network unadhani ni suluhisho sahihi kwa Wema? audio clip hiyo imesikika Wema akimbembeleza Diamond warudiane.

kwa sasa no comment, Hebu wekeni kwanza hiyo clip niisikie then nipate kucomment
 
Back
Top Bottom