Baada ya Msanii Zuchu kuandika ujumbe wa kutengana kimapenzi na msanii Diamond platnumz, anaejiita mtoto wao Baba Levo amesema atahakikisha ugomvi wao unaisha.
Ameandika Baba Levo kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii,
"Nitahakikisha Ugomvi wa Baba na Mama yangu unaisha sitaki kubaki yatima mim".
Unahisi Mtoto wao (Baba Levo) atafanikiwa kulirudisha penzi la wazazi wake?
Written by Mjanja M1 ✍️
Ameandika Baba Levo kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii,
"Nitahakikisha Ugomvi wa Baba na Mama yangu unaisha sitaki kubaki yatima mim".
Unahisi Mtoto wao (Baba Levo) atafanikiwa kulirudisha penzi la wazazi wake?
Written by Mjanja M1 ✍️