Baba Levo: Nitahakikisha Ugomvi kati ya Baba yangu (Diamond) na Mama yangu (Zuchu) unaisha

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Baada ya Msanii Zuchu kuandika ujumbe wa kutengana kimapenzi na msanii Diamond platnumz, anaejiita mtoto wao Baba Levo amesema atahakikisha ugomvi wao unaisha.

Ameandika Baba Levo kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii,

"Nitahakikisha Ugomvi wa Baba na Mama yangu unaisha sitaki kubaki yatima mim".

Screenshot_20240223-205040.jpg


Unahisi Mtoto wao (Baba Levo) atafanikiwa kulirudisha penzi la wazazi wake?

Written by Mjanja M1 ✍️
 
Mwenzake Kifesi alifukuzwa na uchawa wake, nae siku hizi sijui anapiga picha wapi? Haya mambo ya kushonokea watu noma.
 
Baada ya Msanii Zuchu kuandika ujumbe wa kutengana kimapenzi na msanii Diamond platnumz, anaejiita mtoto wao Baba Levo amesema atahakikisha ugomvi wao unaisha.

Ameandika Baba Levo kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii,

"Nitahakikisha Ugomvi wa Baba na Mama yangu unaisha sitaki kubaki yatima mim".

View attachment 2913748

Unahisi Mtoto wao (Baba Levo) atafanikiwa kulirudisha penzi la wazazi wake?

Written by Mjanja M1 ✍️
Vitombi wanagombania nini? Au CHAWA katumwa kukuza maneno watoe wimbo?
 
Back
Top Bottom