Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He need his father to teach him how to be a man regardless that he didn't raise or help him much, he can't learn Everything from his mother, I hope he's going to realize that someday he must reconcile with his father.
diamond nae apunguze ulimbukeni....hata wakijamba chumbani atatuambia
Daaah kumbee! Unajua mwanzo sikuamini hii habari lakini sasa nimeanza kuamini! Hivi kweli ajui hata kaagiza gari la sh ngapi? Ina maana kajiandaa kwa Tsh ngapi?
Cc snowhite
Huyu mdada alikuwa rafiki wa wema wa kufa na kupona, nalazimika kuamini kwamba huenda walilianzisha hata kabla ya wema, muda ni mfupi sana tangu aachane na wema hadi kufikia maamuzi ya kuzaa na huyu!!Muangalie mashoga zenu kinadada, unatambulisha mchumba kwa rafiki yeye anakulia timing ampate vipi....anatumia udhaifu wako kula na bebii wako..ohooo mjini hapa KUWENI MAKINI...Huyo hapo, source: bloggers
eti ni kweli kuwa wanaume wengi waliolelewa/walioshi na mama zao tu huwa na tabia kama hii.........KUPENDA SANA WANAWAKE, KUWA NA KAMPANI YA MABINTI ZAIDI KULIKO WANAUME WENZAO?
eti heaven on desert kwani mimba iliingia lini?
gari lina viti vya kulala?
clinic anaenda lini tena!
ahahahhahhahahhhahha watu na kazi zenu!
IMEKUPITAJEEE HII!?
mi simuamini 1000 words bana!mpka uje wewe hapa ndo ntaamini,unafkir uongo?hakyanani vile siamini mwenzako:nono::nono:
Yule mke wa diamond anayekesha humu jf kumpambania yuko wapi??
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums