heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
Diamond amekiri kwamba ni kweli kamnunulia Penny gari kwa sababu anaelekea kuwa mama watoto ambapo namkariri akisema nilimuuliza gari gani anapenda, nimemuagizia iko njiani inakuja siwezi kusema ni bei gan ila kwa sasa anatumia la muda wakati akisubiria gari lake
kuhusu kumuoa na kama mtoto atazaliwa nje ya ndoa, Diamond amejibu siwezi kusema lini ila Mwenyenzi Mungu ndio anajua inaweza ikawa harusi ila kuna time inafika inabidi utulie, siwezi kusema chochote kwa sababu inawezekana
mtoto akazaliwa ndani ya ndoa pia
HIYO PICHA NI MFANO WA GARI ILIYOAGIZWA
kuhusu kumuoa na kama mtoto atazaliwa nje ya ndoa, Diamond amejibu siwezi kusema lini ila Mwenyenzi Mungu ndio anajua inaweza ikawa harusi ila kuna time inafika inabidi utulie, siwezi kusema chochote kwa sababu inawezekana
mtoto akazaliwa ndani ya ndoa pia
HIYO PICHA NI MFANO WA GARI ILIYOAGIZWA