Friday Malafyale
JF-Expert Member
- Jan 18, 2017
- 1,789
- 2,868
Bila shaka wewe CCM hupendi kusikia yanayoumaChanzo cha habari kinaitwa mange alafu kipo marakani kwa tbc haipo Hadi uminini huyo mange
Bila shaka wewe CCM hupendi kusikia yanayoumaChanzo cha habari kinaitwa mange alafu kipo marakani kwa tbc haipo Hadi uminini huyo mange
Kumbe bado unamfollow si umuache jmnHuyu Mange kwenye ishu ya madawa simuelewi kabisa kila wakati huko Insta yupo Wema wema mpaka anakera
ndio hapo ila Mange namwona KichwaKinachoshangaza ni kundi kubwa la wanaume Kuwa mashabiki wa Msema ovyo Mange.
Ulimpima?? Ana madini ya maana sanaMange chizi.
CCM wewe maana hamumtaki msema kweli sisi tuna screenshot tuu tunasambazaNamuona Mange mwenyewe ndio huyu leo umekuja, sasa kama marekani awazibwi mdomo kwann asifungue akaunti ya kuisema serikali ya marekani na watu wa huko? Kiherehere cha nn akaunti yake kulenga bongo ambako tumezibwa midomo?
Msituletee usengelema wa marekani bana, America haiwezi kuwa Tanzania, na democrasia ya marekani na utamafuni hauwezi kuwa wetu. Ndio maana hata wafirwaji Tanzania sio halali mbona hamuwatetei wawe huru kama Amerika
Mwambie Mange aendelee kuuza **** Marekani ila siku akitua Bonge ataandika definition ya Mabwe-pande kwa Makalio
Kama Mange ameshatuambia hatuwezi kubisha wala kukataa
No.ndio hapo ila Mange namwona Kichwa
Bila shaka wewe CCM hupendi kusikia yanayouma
Hajamzidi Rachel Temu khaaa! Rachel namjua nimesoma nae darasa moja enzi hizo yani ni mwongo mpaka shetani anashangaa! Na mdokozi pia
Mi nina wasiwasi siku watu wa Trump wakimdeport atakimbilia wapi manake anasubiriwa kwa hamu wana hasira nae..
huyo mange nani hamfahamu akili zake? hahahahaMwanadada Mange Kimambi Mtanzania toka Los Angels Aliandika kwamba Petit man ambaye ametuhumiwa na uuzaji na utumiaji madawa. Lakini Mange Kimambi nimeona screenshots kwa whatsapp akisema Huyo Petit man wakuache amepigwa sana na Makonda kuanzia nyumbani kwake mpaka kituo cha polisi cha kati lakini leo nimeona video inayomuonesha Huyo ajiitaye Petit man akitembea vizuri tu je Anadanganya???View attachment 468185
kaolewa tenauyo kah ba aliyeko marekani divorce ilishamchanganya hana analolielewa
Ohooooo!!!yupo humu ngoja atakuja kukujibu.
Peke yako labda ndio hujui ila siku hizi kama anaongea fact CCM ilimfisha akili now yuko okhuyo mange nani hamfahamu akili zake? hahahaha