Bila shaka huyu ni wa kiume...wewe ni wa kike au wa kiume?!
mtoto wa kiume hawezi sifia mwanaume mwenzake namna hiiBila shaka huyu ni wa kiume...
Kama vipi fanya mpango tu mtoto wa KIZARAMO upigwe ndoa..!!!
Teh....
DIAMOND PLATNUMZ kiki zake ni za mafanikio sio za kujivamia/kujiibia kama hapa naona keshafanya yake kwa Tidal ya J Z.
Acha ukilazaaUnadhani mi ni mwanaume wa dar kama kuanzia asubuh mpaka jioni mnajadili maisha ya watu ndo maana makonda anawatafuta
Jamaa yuko vzt ametutoa kimasomaso wana Tanzania hongera zakeP-Square kwa pamoja wana utajiri wa N22 billion ambazo ni sawa USD $110 million vijana hawa wawili wenye stashada ya Business Administration katika chuo cha Abuja nchini Nigeria.
P-Square hawakukurupuka kufanya collaboration na Diamond walijua Diamond ni bidhaa na Brand Bora ya Buradani Africa ambayo itawazidishia radha nzuri ya music na pasipo hiana Diamond Kama Iniesta kafanya kama walivyohitaji wao.
Mhubiri 3 Kwa kila jambo kuna majira yake, Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu. 5 Wakati wa kutupa mawe, na wakati wa kukusanya mawe; Wakati wa kukumbatia, na wakati wa kutokumbatia;
Huu ni wakati wa Diamond platinum wa kukusanya na kukumbatia sababu kwa sasa yeye ni kila kitu katika music wa Tanzania ,Diamond ni maarufu Dunian kuliko Hamisi Andrea Kigwangalla na Makondakta
Napenda HipHop ila namsikiliza Diamond kwa jicho la haki na kumtizama kwa macho ya haki popote ulipo kazi yako imetukuka na ni ya kiwango cha hali ya juu am so proud of you and yo deserve the best tumia vyema jina lako wakati ukuta. Hate leaves ugly scars, love leaves beautiful ones.#DiamondsAreForever.
Hao watu ni muhimu sana, ukiwaona popote wape likes za kutoshaKuna watu wanampinga sana, wakisema hajui kitu
Sawa sawa mekupata, ili aendelee mbele maadui lazima wawepoHao watu ni muhimu sana, ukiwaona popote wape likes za kutosha
Unamfahamu vizur ??? We umekua mama tiffahKweli kaka. Jamaa anajitambua sana tena kwa kiwango cha juu zaidi. Kuna watu nadhani hawamfahamu vzr diamond.