Ibanda1
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 705
- 1,092
We fahamu hvyo inatosha,maana hata mm ntakuuliza umejuaje kama sio yake,am sure hutokuwa na majibu sahihi zaidi ya ku-refer alichopost sallamSasa we umejuaje kama ni yake .......??
We fahamu hvyo inatosha,maana hata mm ntakuuliza umejuaje kama sio yake,am sure hutokuwa na majibu sahihi zaidi ya ku-refer alichopost sallamSasa we umejuaje kama ni yake .......??
Kwani ni wapi niliposema si yake ........we nijibu umejuaje....??We fahamu hvyo inatosha,maana hata mm ntakuuliza umejuaje kama sio yake,am sure hutokuwa na majibu sahihi zaidi ya ku-refer alichopost sallam
Kakodishiwa na baasha wake
Haya mambo ya kitoto anayoyafanya Diamond yanampotezea sana mashabiki wastaarabu, yeye ni msanii mkubwa anayeheshimika Africa atajibishanaje na mafans wa Kiba, ujinga mtupu anaoufanya.
hivi hii inspiration unayoizungumzia kwa upcoming ni pamoja na maneno ya vijembe kwambawatu wengi hawajui ata maana ya Usuper star, mtu kama Mondi ni Inspiration kwa vijana wengi wanaotoka kwenye maisha ya chini so anapotambishia mafanikio yake anajua kuna wengi watatake it as a positive inspiration ingawa watu wenye negative altitude hawakosagi la kuongea ndo kama hivyo ana show off, sjui kiki lkn hivyo ni vitu vya muhimu sana kwake na anafanya hvyo akijua kuna wakuda wataanza kumdiscuss na ndo ustaa wake unaanzia apo kila mtu anamjadili yeye. Ona kama leo social networks hadi zinakera ni kuzungumzia tu nyumba ya Diamond wakifikiri wanamshusha kumbe ndo wanamnyanyua mara dufu. Kwakwel uyu jamaa kushuka labd aamue yeye tu maana kila anachofanya watu wapo attention kukizungumzia na hiyo ndo tofauti yake na wasanii wengine
Haha haaaaaa unajisikiaje kuona mtu ana maendeleo, na wewe hauendelei katika nchi hiyo bali unasota. Jiongeze ufike na wewe, pole yako.
Kwanz inatakiwa ujue asilimia kubwa ya binadamu tunapenda sifa kwasababu sifa hufariji, lkn pia wasanii wengi wanapenda kiki sema wanaogopa kutukanwa na washabiki kwahiyo apo Diamond alipopost mwanzo alikuwa anataka sifa na kiki, wakatokea watu wakamtukana na kumdhihaki afu wengn Mastaa wenzake Kbs mfn Hbaba so hivo vijembe pengn alishndwa kuwavumilia ndo maana kawajibu so ata km haiko sawa lkn tukumbuke naye ni bnadamu so sdhan km kuna mtu anapenda kudhihakiwa na mwngne alafu akachekelea. Muda mwngn lazm kukomeshana tu ili wasimzoee sanahivi hii inspiration unayoizungumzia kwa upcoming ni pamoja na maneno ya vijembe kwamba
Kunya ninye mm mat@ko yawaume wengine,as our little brother's role model .
Hii mipasho kwa watoto wa kiume haikubaliki.mm ningependa kama asingekuwa anaweka caption yoyote katika clip then asubiri kuulizwa ktk interviews ndipo amwage mchele.
Waacheni walinge
Waacheni walinge
ila neno sahihi la kiswahili ni ringa, so angeandika waacheni waringe. Ndio tunavyo elimishana kama hivyo, then next thing povu teh tehHaswa, watu hawataki kukubali.
Umenifurahisha na maneno yako.
ila neno sahihi la kiswahili ni ringa, so angeandika waacheni waringe. Ndio tunavyo elimishana kama hivyo, then next thing povu teh teh
Umeelewa lakin ndo nilichokua natakaila neno sahihi la kiswahili ni ringa, so angeandika waacheni waringe. Ndio tunavyo elimishana kama hivyo, then next thing povu teh teh
yeah nimeelewa thrad kama hizi wakati mwingine tunafurahi tu na kujipima jinsi ya kujimudu, kuna time hapa nimepewa za uso kidogo ni catch feelings nianze kutukana, hhaa mwishowe niharibu ka pc changu cha kimaskini kwa kubonyeza keypad kwa jazba mwehUmeelewa lakin ndo nilichokua nataka
Ja Rule alionyeshaga ya kukodi akasema yake walim mind wenye nyumba yao hahahha entertainers bana.Unielwe sasa sio uanze ooh kwa hiyo Diamond kakodi...sijasema hivyo mimi. Nachojua kasema kanunua, mi nibishe nini kwani mimi Zari koh koh Zari ndio anajua ukweliHao mastaa wangekua hawapend tuone mali zao mtv wasingekua na kipindi cha crib. Au akionesha 50 cent nyumba yake au mali zake mitandaoni yeye ndo star??
Hlf majority wanaoleta zengwe kwa diamond na kumkebehi humu ni wanaume. Jamani jengeni na nyie msimuonee kijicho mwanaume mwenzenu.